Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #21
Aliyeanguka amesimamisha pia mikeka ya watu.Uzi umegeuka wa mambo ya kubet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyeanguka amesimamisha pia mikeka ya watu.Uzi umegeuka wa mambo ya kubet
Mkuu hivi kule kwenye uzi wa mikeka unatupiaga code?Ni mtazamo wako, siupingi.
Sasa wewe unaona WON halafu unasema bet itatumaliza?
Mimi nina mshahara mwisho wa mwezi lakini na hii ni kazi kabisa.
Angalia...View attachment 3167055View attachment 3167056View attachment 3167057View attachment 3167058
Situpiagi code, huwa natoa maoni tu na mtazamo. Kuna siku nilitupia code kumbe kuna mtu aliifata kwa high stake halafu ikachana. Kwa hiyo huwa naogopa kumwingiza mtu chaka japo dhamira huwa inakuwa nzuri.Mkuu hivi kule kwenye uzi wa mikeka unatupiaga code?
Situpiagi code, huwa natoa maoni tu na mtazamo. Kuna siku nilitupia code kumbe kuna mtu aliifata kwa high stake halafu ikachana. Kwa hiyo huwa naogopa kumwingiza mtu chaka japo dhamir
Mkeka kuchanika ni kawaida tu mkuu ndio maana mara nyingi ukichukua code ni vizuri ku edit kidogo sehemu ambayo unafikiri haiko sawaSitupiagi code, huwa natoa maoni tu na mtazamo. Kuna siku nilitupia code kumbe kuna mtu aliifata kwa high stake halafu ikachana. Kwa hiyo huwa naogopa kumwingiza mtu chaka japo dhamira huwa inakuwa nzuri.
Unachosema ni kweli, ngoja tuendelee na kazi.Mkeka kuchanika ni kawaida tu mkuu ndio maana mara nyingi ukichukua code ni vizuri ku edit kidogo sehemu ambayo unafikiri haiko sawa
Karibu utupiepo tugawane umaskini
Hapana, vifo ndani ya uwanja hutokea, na wataalam wanadai ni mshituko au kusimamia kwa moyo ghaflaMajini hayo
Wamuenzi vipiAisee. Sijui Simba wanamuenzije Tindwa.