Mchezaji wa Fiorentina aanguka uwanjani. Hali yake mbaya.

Mchezaji wa Fiorentina aanguka uwanjani. Hali yake mbaya.

Mkuu hivi kule kwenye uzi wa mikeka unatupiaga code?
Jamaa umemuona ni kichwa eenh?

Mimi siyo Afisa ubashiri Wala mkamaria lakini maelezo yake yamenifanya nimuone ni mtaalam wa kuelezea Betting.

Kongole kwako Shin Lim Kwa maelezo yako yaliyonyooka.
 
Situpiagi code, huwa natoa maoni tu na mtazamo. Kuna siku nilitupia code kumbe kuna mtu aliifata kwa high stake halafu ikachana. Kwa hiyo huwa naogopa kumwingiza mtu chaka japo dhamir

Situpiagi code, huwa natoa maoni tu na mtazamo. Kuna siku nilitupia code kumbe kuna mtu aliifata kwa high stake halafu ikachana. Kwa hiyo huwa naogopa kumwingiza mtu chaka japo dhamira huwa inakuwa nzuri.
Mkeka kuchanika ni kawaida tu mkuu ndio maana mara nyingi ukichukua code ni vizuri ku edit kidogo sehemu ambayo unafikiri haiko sawa

Karibu utupiepo tugawane umaskini
 
Mkeka kuchanika ni kawaida tu mkuu ndio maana mara nyingi ukichukua code ni vizuri ku edit kidogo sehemu ambayo unafikiri haiko sawa

Karibu utupiepo tugawane umaskini
Unachosema ni kweli, ngoja tuendelee na kazi.
 
Back
Top Bottom