Mchezaji wa Nkana FC, Walter Bwalya ni mchezaji sahihi kwa Msimbazi

Gwele

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2016
Posts
2,604
Reaction score
3,319
Kufuatia striker Machachari wa Simba Mganda Emmanuel Okwi kuwa mbioni kutimukia Kaizer Chiefs ya huko Afrika kusini ni wazi kabisa kijana mdogo Walter Bwalya kutoka Nkana Fc ya Zambia ni mbadala sahihi wa Okwi

Bwalya ambaye ana miaka 23 Ndie mfungaji bora wa ligi ya zambia msimu wa mwaka 2016 huku akiiwezesha timu yake ya Nkana kushiriki ligi ya mabingwa msimu wa 2018/2019 na kuiishia katika raundi ya pili baada ya kutolewa na Mabingwa wa Tanzania Simba Sc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchezaji wa kigeni ni kama kucheza kamari....walikuja wengi hapa wakaondoka kimya kimya...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…