Unapoishi nao unakuwa kama rofa fulani hivi hohehahe huna kitu, lakini cha ajabu familia inasoma, inakula na mambo yanaenda...
Usisahau kuwa na stock zako maeneo mengine kwa ajili ya pocket money yako hela ya kula Bata, kikiwaka unasepa unamuachia mji na watoto, anashangaa unalipa ada na matumizi huku ukiendelea kula bata uraiani....