EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Ujinga huu sifanyi nikizeeka ntaandika watoto sio mkeUmeniwahi, nilitaka uandika hivyo hivyo. Haya mambo ya uandika majina ya wake zetu kwenye mali bila kuangalia intention zao ni mbaya sana kusema ukweli.
Ndiyo maana nikasema:, SIDHANI. uhalisia anaujua yeye zaidi.Sio kweli, as long as una valid status ambayo ni lazima huyo jamaa anayo (work permit) sababu ni ni mchezaji wa timu officially ni ruhusa kumiliki nyumba na gari, tena kwenye gari ndio rahisi zaidi ukiwa na passport ya kwenu tu unapata Traffic Register na unamiliki chombo.
Na kitendo cha kuoa raia automatically ana qualify kupata resident permit kupelekea kupata citizenship. Kwa mantiki hiyo basi alifanya kwa uzwa uzwa wake mwenyewe kuhisi anapenda sana na sasa imemgharimu.
Hakuna policy hizo South Africa acha kupotosha watu.sidhani alifanya hivyo kwasababu ya mapenzi bali policies za SA kuhusu wageni.
mgeni huruhusiwi kununua gari nyumba etc so ukiwa na mpenzi wako utatumia jina lake kununua hivyo vitu na nahisi ndicho alichofanya huyo jamaa huyu jamaa.
Siyo kiwanja cha mke wako tu, hata kiwanja cha familia yenu ukijenga hiyo ni nyumba ya familia siyo yako.Nilijifunza kwa jamaa yangu mmoja RIP..walizawadiwa kiwanja siku ya harusi na babamkwe wake/wazazi wa mkewe kimeandikwa jina la mke wake. ..jamaa kapambana kuokotaokota vijisent akajenga...alipomaliza tu mwanamke akabadilika anarudi nyumbani mda anaotaka,akisimama kama mwanaume kukemea upuuzi wa mkewe mwanamke anamwambia akamwambia hapo ni kwake nyumba ni yake, suluhu imetafutwa imeshindikana mwishowe mwamba akaenda kupanga room moja ila mawazo yalikuwa makubwa akapata presha ya kichwa akalazwa mwishowe akavuta. ...R.I.P ..kuna lakujifunza hapo
Naweza kukubaliana na wewe South African blacks (Wanyama) ni waumini wakubwa wa ushirikina ndio maana Sangoma wanapiga hela wateja ni wengi.Duh limbwata lilikolea balaa
Nakusoma kamanda. Uko sahihiUjinga huu sifanyi nikizeeka ntaandika watoto sio mke
Ni hatar Sana aisee !!!Nilijifunza kwa jamaa yangu mmoja RIP..walizawadiwa kiwanja siku ya harusi na babamkwe wake/wazazi wa mkewe kimeandikwa jina la mke wake. ..jamaa kapambana kuokotaokota vijisent akajenga...alipomaliza tu mwanamke akabadilika anarudi nyumbani mda anaotaka,akisimama kama mwanaume kukemea upuuzi wa mkewe mwanamke anamwambia akamwambia hapo ni kwake nyumba ni yake, suluhu imetafutwa imeshindikana mwishowe mwamba akaenda kupanga room moja ila mawazo yalikuwa makubwa akapata presha ya kichwa akalazwa mwishowe akavuta. ...R.I.P ..kuna lakujifunza hapo
Mkuu usiseme sana achana na kitu inaitwa MAKU oohoooo[emoji848]hilo kima nilisenge la kutupa, hivi mwanaume una akili zako timau unaanzaje kuandikisha malizako jina la demu wako au wife tena mali zote basi angeandikisha nusu pia nusu aandikishe majina yake tatizo wanaanza mapenzi wakiwa wakubwa ndio tatzo la ulimbukimeni huyu inaonekana alianza kuchakata papuchi kwa mara ya kwanza akiwa SA JLjehu hili [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji115]
Case closedsidhani alifanya hivyo kwasababu ya mapenzi bali policies za SA kuhusu wageni.
mgeni huruhusiwi kununua gari nyumba etc so ukiwa na mpenzi wako utatumia jina lake kununua hivyo vitu na nahisi ndicho alichofanya huyo jamaa huyu jamaa.
Wanaume wajinga wasio tambua kuwa mwanamke ni wa kugegeda tuuBreaking: Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe.
Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote kwa kufilisiwa baada ya kuachana na mkewe Thando Maseke ambaye ni raia wa Afrika kusini.
Taarifa zinaeleza kuwa Mchezaji huyo ambaye ni raia wa Zimbabwe aliandikisha mali zake zote ikiwemo Nyumba na magari ya kifahari kwa jina la Mkewe na hivyo kufuatia mgogoro baina yao alitimuliwa kwenye Nyumba waliyokuwa wakiishi Jijini Johenberg.
Hamna kitu kama hichosidhani alifanya hivyo kwasababu ya mapenzi bali policies za SA kuhusu wageni.
mgeni huruhusiwi kununua gari nyumba etc so ukiwa na mpenzi wako utatumia jina lake kununua hivyo vitu na nahisi ndicho alichofanya huyo jamaa huyu jamaa.
Fafanua, hakuna nini?.Hamna kitu kama hicho
Duh!!!Mambo ya aliyekuwa beki wa ARSENAL Emmanuel Ebue alifilisiwa na mdada wa kiingereza kila kitu akawa analala kwa washkaji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi wazee wa chapa ilale haya matukio tutayasikia kwenye bomba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huwezi kumuonea huruma mpuuzi wa hivi.
Kwakuwa kutoka Johannesburg mpaka Zimbabwe ni mwendo wa masaa machache tu basi atarudi kwao hata kwa bajaj jinga kabisa.
dingi bila pepa uwezi nunua gari wala nyumba labda unataka kuweka ligi tu.Hakuna policy hizo South Africa acha kupotosha watu.
Binafsi nimenunuwa gari na kulimiki kwa jina langu tena kitambo sana miaka 22 iliyopita.
Jamaa zangu mfuko uliokuwa unawaruhusu wamenunuwa nyumba na wanazimili kisheria kabisa.
Ni nani alikudanganya hili?