Mchezaji wa Yanga SC yupo rumande kwa kumpiga Ngumi Mwandishi wa Habari

Mchezaji wa Yanga SC yupo rumande kwa kumpiga Ngumi Mwandishi wa Habari

Abdi Banda, Mambosasa, Michael Paul, Christopher Alex Masawe, kwa viongozi ni Hasanoo, Haji Manara, Wambura, Rage, Kaburu na Aveva hao wote wameshalala Sero na wengine kufungwa kabisa, ukinitajia idadi hiyo hiyo Yanga ya wachezaji na viongozi najitoa Jf

Hao wote uliowataja karibia 99.9999% ya Kesi zao zilikuwa za Kusingiziwa / Kubambikiwa na ndiyo maana baadae wakatoka na sasa tunao mitaani. Halafu huu uzi haujaja ili tuanze kuwasema Viongozi wetu Wakuu wa hivi Vilabu vyetu bali ni maalum kwa huyo Mchezaji wenu wa ' hovyo hovyo ' kwa kumpiga Ngumi Mwandishi wa Habari sawa?

Ukitaka na Mimi pia nitiririke na niserereke na madhambi yaliyoshindikana na Viongozi wako wa Yanga SC naweza vile vile na humu patakuwa hapatoshi. au unabisha nianze kufunguka hapa hapa nikianzia na huyu ' Kubwa Lao ' mwenye msumari na bati moyoni?
 
Mwinyi Kazimoto mwaka jana tu alikua na kesi kama hii au yeye hachezei Simba?

Uliona hiyo Kesi ikiendelea? Yule Demu wa Mwanaspoti / MWANANCHI ( jina nalihifadhi ) ndiyo alikuwa 'akijipendekeza ' mwenyewe kwa Faila Sufi Mwinyi Kazimoto ili ampige paipu / ambandue ila Mwinyi akawa hataki na Demu alipoona itakua aibu Kwake akaamua kumtengeneze ' zengwe ' ili kumchafua hadi baadae Watu wenye akili zao walipoingilia kati wakaona Mwinyi hakuna na Kosa na Kesi ikaishia pale pale. Wachezaji wa Yanga SC ni lazima tu watakuwa wana hasira kwani kama asubuhi tu wanagongeana Chapati na mchana wanakula Ugali wa ' mduara ' na Samaki wa mafungu watashindwa kweli kuwa na stress huku wakiwaona wenzao wa Simba SC wanakula tu Holiday Inn mara Sea Cliff mara Saphirre mara Kempisky mara Serena mara New Africa Hotel?

Sahani za Chakula za Okwi na Niyonzima thamani yake ni Chakula cha Wachezaji 28 wote wa Yanga SC kwa msimu mzima.
 
Uliona hiyo Kesi ikiendelea? Yule Demu wa Mwanaspoti / MWANANCHI ( jina nalihifadhi ) ndiyo alikuwa 'akijipendekeza ' mwenyewe kwa Faila Sufi Mwinyi Kazimoto ili ampige paipu / ambandue ila Mwinyi akawa hataki na Demu alipoona itakua aibu Kwake akaamua kumtengeneze ' zengwe ' ili kumchafua hadi baadae Watu wenye akili zao walipoingilia kati wakaona Mwinyi hakuna na Kosa na Kesi ikaishia pale pale. Wachezaji wa Yanga SC ni lazima tu watakuwa wana hasira kwani kama asubuhi tu wanagongeana Chapati na mchana wanakula Ugali wa ' mduara ' na Samaki wa mafungu watashindwa kweli kuwa na stress huku wakiwaona wenzao wa Simba SC wanakula tu Holiday Inn mara Sea Cliff mara Saphirre mara Kempisky mara Serena mara New Africa Hotel?

Sahani za Chakula za Okwi na Niyonzima thamani yake ni Chakula cha Wachezaji 28 wote wa Yanga SC kwa msimu mzima.
Sasa hii umeiona ikiendelea au unajua kwa nini amempiga? Hata Mwinyi alisema maneno hayo hayo ya unanifuatafuata
 
Sasa hii umeiona ikiendelea au unajua kwa nini amempiga? Hata Mwinyi alisema maneno hayo hayo ya unanifuatafuata

Nilikuwa nakuheshimu sana humu Mkuu ila baada ya leo kukujua kwamba kumbe Wewe ni mwana Yanga SC nimeshaanza kukushusha thamani. Mtu makini Kichwani, Safi na anayejitambua hata siku moja hawezi kuwa mshabiki wa Yanga SC Klabu ambayo ina ' nuksi ' tupu.
 
Hapo itakua yondani au Juma Abdul sababu kimuonekano ni watumiaji wa mmea na walivyo ni wagomvi wagomvi
 
Nilikuwa nakuheshimu sana humu Mkuu ila baada ya leo kukujua kwamba kumbe Wewe ni mwana Yanga SC nimeshaanza kukushusha thamani. Mtu makini Kichwani, Safi na anayejitambua hata siku moja hawezi kuwa mshabiki wa Yanga SC Klabu ambayo ina ' nuksi ' tupu.
Du haya team ya wananchi hiyo 90% ya wenye nchi hii ni Yanga ukweli mchungu na ukitaka mambo yako yaende kombo wakorofishe Yanga tu mwisho wako hauwi mzuri
 
Abdi Banda, Mambosasa, Michael Paul, Christopher Alex Masawe, kwa viongozi ni Hasanoo, Haji Manara, Wambura, Rage, Kaburu na Aveva hao wote wameshalala Sero na wengine kufungwa kabisa, ukinitajia idadi hiyo hiyo Yanga ya wachezaji na viongozi najitoa Jf

Huyo Abdi Banda kuna Mke wa mtu kamtia mimba somewhere,,,akawa anahudumia hajui kama Mke wa mtu,,,end of the day demu kamchana laivu mtoto sio wako Nna mme wangu/////// wanawake wana mambo aisee
 
Huyo Abdi Banda kuna Mke wa mtu kamtia mimba somewhere,,,akawa anahudumia hajui kama Mke wa mtu,,,end of the day demu kamchana laivu mtoto sio wako Nna mme wangu/////// wanawake wana mambo aisee
Nadhani ndio huyo huyo alimlaza sero kwa kumtuhumu ameiba gari lake
 
Uliona hiyo Kesi ikiendelea? Yule Demu wa Mwanaspoti / MWANANCHI ( jina nalihifadhi ) ndiyo alikuwa 'akijipendekeza ' mwenyewe kwa Faila Sufi Mwinyi Kazimoto ili ampige paipu / ambandue ila Mwinyi akawa hataki na Demu alipoona itakua aibu Kwake akaamua kumtengeneze ' zengwe ' ili kumchafua hadi baadae Watu wenye akili zao walipoingilia kati wakaona Mwinyi hakuna na Kosa na Kesi ikaishia pale pale. Wachezaji wa Yanga SC ni lazima tu watakuwa wana hasira kwani kama asubuhi tu wanagongeana Chapati na mchana wanakula Ugali wa ' mduara ' na Samaki wa mafungu watashindwa kweli kuwa na stress huku wakiwaona wenzao wa Simba SC wanakula tu Holiday Inn mara Sea Cliff mara Saphirre mara Kempisky mara Serena mara New Africa Hotel?

Sahani za Chakula za Okwi na Niyonzima thamani yake ni Chakula cha Wachezaji 28 wote wa Yanga SC kwa msimu mzima.
Huko Moro miaka ya nyuma kocha wenu mwanamakeke alikuwa anafanya nini na wachezaji?
 
Simba nayo ni Timuu..
Wanachaga rede uwanjani..
 
Hakuna siku niliyomdharau Shedrack Nsajigwa kama hiyo siku. Analalamika Uwanja wa Songea ni mbovu na haufai kuchezewa Ligi Kuu wakati wao Yanga kama Yanga wanafanya mazoezi kila siku hapa Dar es Salaam katika Uwanja mbovu wa Loyola Shule ambao hata huo wa Songea ulikuwa ni mzuri katika pitch. Kumbe ndiyo maana katika ile mechi ya Simba na Yanga hadi Yanga wakafungwa zile goli 5 Emanuel Gabriel Okwi alimtesa na kumdhalilisha mno Shedrack Nsajigwa mpaka kila mara bukta yake ilikuwa inamtepweta tu na vitu vikigonga na kurudi kunako. Hakuna mwaka ambao Yanga SC wamepata bahati mbaya ya kuwa na Makocha Wakuu na Wasaidizi kama sasa. Eti Lwandamina na Nsajigwa bure kabisa!
kwenye BOLD hapo
 
Hao wote uliowataja karibia 99.9999% ya Kesi zao zilikuwa za Kusingiziwa / Kubambikiwa na ndiyo maana baadae wakatoka na sasa tunao mitaani. Halafu huu uzi haujaja ili tuanze kuwasema Viongozi wetu Wakuu wa hivi Vilabu vyetu bali ni maalum kwa huyo Mchezaji wenu wa ' hovyo hovyo ' kwa kumpiga Ngumi Mwandishi wa Habari sawa?

Ukitaka na Mimi pia nitiririke na niserereke na madhambi yaliyoshindikana na Viongozi wako wa Yanga SC naweza vile vile na humu patakuwa hapatoshi. au unabisha nianze kufunguka hapa hapa nikianzia na huyu ' Kubwa Lao ' mwenye msumari na bati moyoni?
Funguka na walishtakiwa wapi au walilala selo gani? Abdi, Masawe, Manara na Michael Paul wote walikua na kesi za wizi wa magari, Mambosasa aliiba godoro la guest, Kazimoto alipiga Mwandishi na Kaniki amefungwa kwa kubeba unga! Hamna mpya
 
Mbona yupo tu hapo Kituo cha Polisi cha jirani na Wewe ulipo Mkuu? Nenda kamsabahi / kamsalimie basi na umpe pole kwa niaba yetu Sisi wanamichezo hasa wana Simba SC ambao ni wastaarabu. Ni aghalabu / nadra sana kumkuta Mchezaji wa Simba SC anafanya vitendo vya aibu namna hii. au labda yawezekana kwakuwa Wachezaji wa Simba SC wanalipwa ' Mamilioni ' ya Pesa hivyo hawana muda wa ' hovyo hovyo ' wa kufanya Fujo, Vurugu na Kugombe Vikombe vya Chai na Chapati kama wa Yanga SC.
Vipi Mwinyi Kazimoto kule Shinyanga mwaka ule alimfanyia nn mwandishi wa habari vile?
 
Abdi Banda, Mambosasa, Michael Paul, Christopher Alex Masawe, kwa viongozi ni Hasanoo, Haji Manara, Wambura, Rage, Kaburu na Aveva hao wote wameshalala Sero na wengine kufungwa kabisa, ukinitajia idadi hiyo hiyo Yanga ya wachezaji na viongozi najitoa Jf
Hakuna mbumbumbu anaeweza kukujibu hili swali zaidi utapata bla bla!ukitaka kujua uwezo wa mbumbumbu fans angalia yule msemaji wao,siku zote akihojiwa lazima ataanza na Yanga hata akiulizwa ishu za club yake utamsikia aah unajua Yanga haituwezi"
 
Mbona yupo tu hapo Kituo cha Polisi cha jirani na Wewe ulipo Mkuu? Nenda kamsabahi / kamsalimie basi na umpe pole kwa niaba yetu Sisi wanamichezo hasa wana Simba SC ambao ni wastaarabu. Ni aghalabu / nadra sana kumkuta Mchezaji wa Simba SC anafanya vitendo vya aibu namna hii. au labda yawezekana kwakuwa Wachezaji wa Simba SC wanalipwa ' Mamilioni ' ya Pesa hivyo hawana muda wa ' hovyo hovyo ' wa kufanya Fujo, Vurugu na Kugombe Vikombe vya Chai na Chapati kama wa Yanga SC.
Hongera nyingi kwa Simba SC, mabingwa wa Tanzania kwa misimu mitatu mfululizo! Yanga hawana kitu uwanjani....kazi yao kupiga waandishi tu! Wapo kama washabiki fulani wang'oa viti uwanjani!
 
Mechi ya Simba na Yanga alisumbuliwa sana na Kichuya na baadae Kotei. Bado tu hujamjua Mkuu? Unaniangusha bhana! Unakuwa kama siyo mwana michezo ambaye kila mechi ya Taifa au Uhuru huwa unaingia? Haya mwisho nakufumbia huyo mchezaji ndiyo ' Kinara ' wa kuyatumia majani fulani hivi yanaitwa Bob Marley Leaves kwa sasa ndani ya hiyo Klabu.
Kevooo?????
 
Back
Top Bottom