GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kuna taarifa kwamba mmoja wa Wachezaji tegemeo kabisa wa Klabu ya Yanga hivi sasa yupo Rumande Kituo cha Polisi kwa kosa la Kumpiga Mwandishi wa Habari kwa kile anachodai kwamba huyo Mwandishi amezidi kumfuata mfuata ( anawashwawashwa ) nae mno hata kwa mambo yake binafsi.
Chanzo cha hii taarifa ni Efm Kipindi chao kizuri cha michezo cha Sports Headquarters muda mfupi tu uliopita katika kile ' Kipengele ' chao pendwa cha ' Chabo Chabo ' na Mtangazaji aliyesema hili anaitwa Oscar Oscar.
Yanga SC vipi mpira sasa umewashinda hadi mnahamia katika Ndondi / Ndonga / Masumbwi / Vitasa / Nakoz?
Nawasilisha.
Chanzo cha hii taarifa ni Efm Kipindi chao kizuri cha michezo cha Sports Headquarters muda mfupi tu uliopita katika kile ' Kipengele ' chao pendwa cha ' Chabo Chabo ' na Mtangazaji aliyesema hili anaitwa Oscar Oscar.
Yanga SC vipi mpira sasa umewashinda hadi mnahamia katika Ndondi / Ndonga / Masumbwi / Vitasa / Nakoz?
Nawasilisha.