Mchezaji wa zamani timu ya ARSENAL na taifa la UFARANSA PATRIC VIEIRA asilimu na kuwa muislami...... TAKBIRRRR

Mchezaji wa zamani timu ya ARSENAL na taifa la UFARANSA PATRIC VIEIRA asilimu na kuwa muislami...... TAKBIRRRR

Vieira original dhidi ya Vieira mwislamu. Hivi kwa nini uislamu umejengwa kwenye misingi ya uongo na propaganda?
f4dd523b449fbac4632874550ceff0f3.jpg
c454506f4687e6af4212388aee3cc00c.jpg
d5d1fd53b1d45aca638f11dd8b3ea41f.jpg
9b16e6228e28b7b9bdc1ff744221bfd2.jpg


Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
hata mimi ntakuja kusilimu ili tu nioe wake wa 4

kila mmoja ana sababu yake ya kusilimu yaweza kuwa mapenzi, ahadi ya vinono, wake wa 4, kumiliki mali na mengineyo
Angalia usije ukamuoa dadaako kwa tamaa
 
Watu mnapenda kujaza server za JamiiForums tu hapa bila sababu za msingi,hata wakibadilisha wanakupunguzia nini wewe Mkristo ktk maisha yako ya kiimani!?

Hao wanaobadilisha hizo dini kuna hata siku moja wameonekana wakiingia Kanisani kuabudu au mnafuata spelling za majina?au hata ithibitishwe kwamba wamewahi kubatizwa maana kuwa Mkristo hujabatizwa wewe siyo Mkristo labda uhisiwe tu kwa jina lako.

Ukristo ni zaidi ya udhaniwavyo msijazane upepo wewe shika ulichokiamini coz hayo macho ya nyama ukiyafunga kitakachofuata ni wewe kwenda kuonana uso kwa macho na Mungu na ktk mambo utakayoulizwa sidhani kama haya mnayobishana hapa yatakuwepo.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom