Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Wengine wanasilimu kufuata "Mungu". Ambacho ni kitu kizuri mtu kuamua kuifuata imani ya kweli kwake.hata mimi ntakuja kusilimu ili tu nioe wake wa 4
kila mmoja ana sababu yake ya kusilimu yaweza kuwa mapenzi, ahadi ya vinono, wake wa 4, kumiliki mali na mengineyo