Vieira original dhidi ya Vieira mwislamu. Hivi kwa nini uislamu umejengwa kwenye misingi ya uongo na propaganda?
Hawa watakwenda peponiHata Michael Jackson mlisema hajawa Muislam. Ndiyo zenu hizo...
Angalia usije ukamuoa dadaako kwa tamaahata mimi ntakuja kusilimu ili tu nioe wake wa 4
kila mmoja ana sababu yake ya kusilimu yaweza kuwa mapenzi, ahadi ya vinono, wake wa 4, kumiliki mali na mengineyo
hahhaha ningesha anza kwa kukuoa ww kwa kujirahisha. ila kujua sina tamaa ya ivo hadi leo wasumbuka tu kujipendekeza.Angalia usije ukamuoa dadaako kwa tamaa
We kigoli umefugwa kama kuku wa kisasaUmeona eenh. Uislam raha, siyo huko mpaka Duterte anawaambia muwaoe wachungaji wenu maana wasenge wamezidi kanisani, halafu ndiyo eti maaskofu na mapadri. Khaa!
Kubali tu kuachana na imani uliyonayo kuwa jua linazama kwenye bwawa lenye tope, mkiri Kristo kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yako na Patrick atakuwa wako.Patrick Vieira
Ndio. Surat Maryam. Tuyaache hayo, naomba msaada wa tafsiri ya lugha ya KihindiUmewahi kuisoma Qur'an?
kwahiyo ni nani sasaFake news....huyo siyo Vieira...hiyo clip iko na kama 3 years inazagaa mitandaoni...
Sent using Jamii Forums mobile app
I don't know boss....nnachojua huyo siyo Pat Vieira wa Arsenalkwahiyo ni nani sasa
Uchuro tena? Mimi ni mtu mweusi, tena mweusi hasa. Hakika mimi si mmoja wa uwaonao kwenye videoMijadala haiendi hivyo, nimekuuliza swali inabidi kwanza ujibu kabla ya kuleta uchuro wako.
Uchuro tena? Mimi ni mtu mweusi, tena mweusi hasa. Hakika mimi si mmoja wa uwaonao kwenye video
Mijadala haiendi hivyo, nimekuuliza swali inabidi kwanza ujibu kabla ya kuleta uchuro wako.