Mchezaji wa zamani wa Zambia auliwa na mbwa wake

Mweusi mwezie, vipi rangi hapo ni tatizo?,siku ya kifo haina means ya kujiokoa, why why why marehemu hakupiga yowee la kuomba msaada?,kuna maswali mengi kuliko majibu
Haya huwa ni mashauri magumu sana: Kwa dar es salaam nimeshuhudia visa viwili vya namna hii, ila, si jambo la kiushangaza hasa pale ambapo mwenye mbwa hana knowledge ya kutosha ya tabia za mbwa
 
Unafugaje mbwa kama pitt bull,,hao wanatakiwa kuwa special kutumiwa na maaskari tu.
 
Hivi mbwa ana uwaje mtu labda hivyo ulivyo sema watatu ila mimi nikikutana na mbwa namuona kama mbuzi tu....majuzi kuna mbwa kajipendekeza kunishambulia alicho kutana nacho ...hadi mwenye mbwa akashangaa na kunishutumu eti kwanini sikimbii mm nikamjibu ulishawai kuona wapi mbwa anakimbiwa
 
alive. Ukute ana life insurance ya maana
Dawa ni kuachana na life insurance! Nakumbuka Kuna dada huko South alikuwa anawakatia life insurance baadhi ya ndugu zake kisha anawaua na Yeye kupata hayo mafao! Kule kuna shida.
 
Mbwa wa kisasa ni shida kweli!!yaani umeme ukikatika anashindwa kumtambua mfugaji?!!
nakumbuka miaka hiyo nipo village, ilikuwa naweza kumfungia mbwa wangu nikaenda hadi kijiji kingine, napita chochoro zote, nikiwa kule wakimfungulia tu, ananusa miguu nilipopita hadi ananikuta kijiji kingine. tukienda kuwinda unachofanya ni kumnusisha kwato moja tu aliyokanyaga nguruwe pori au digidigi/swala, atafuata alipokanyaga hadi anamkuta. sio hizi takataka za pitbull nini sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…