Mchezaji Yanga apigwa faini kwa sababu ya ushirikina

Sheria ipi kwenye 17 za mpira zinakataza ?Kuamini kwamba taulo linazuia goli ni ujinga wa hali juu.
Basi msiwashauri wachezaji kuweka mataulo ndani ya goli. Otherwise uache ubishi kama hujui vitu
 
Kuna magolikipa wanatumia kujifuta jasho na kufuta glovu zao.Kuna watu wanatoka sana jasho mikononi na usoni.Ingekuwa inakatazwa marefa wasingekubali kuwepo na taulo.
Na kuamini kwamba taulo linazuia goli kuingia ni ujinga wa kiwango cha juu.
Kutoka jasho kwa namna yoyote haku husiani na uwepo wa taulo, mchezo wowote unao tumia nguvu lazima utoke jasho.
Kipa kutoka jasho mikononi ndio maana ana Vaa gloves, taulo au kitu chochote haitakiwi ndani ya goli au ku ning'iniza kwenye net. Taulo halikatazwi ila usiliweke golini / eneo la kuchezea au kwenye net.
 
Boya kweli wewe ushabiki maandazi tu!
Mimi si Boya ila ninachokueleza ndio ukweli na uhalisia wa taratibu za mpira wa miguu.
Inawezekana Kuna vitu mmezoea kuviona mkahisi ni Sheria, hakuna utaratibu wa kuweka mataulo / maji langoni au kwenye nyavu za mpira wa miguu.
Nahisi una umbumbumbu flani ila hainifanyi nisitoe darasa kwa wasio na ufahamu.
 
Utopolo majini bwana hawajui chochote duniani zaidi ya kufuga majini
 
Kuning'iniza kwenye nyavu ndio kulipigwa marufuku 2012 lakini sio pembeni ya mlingoti wa goli.
Weka kanuni sio unavyopenda wewe.
 
Kuning'iniza kwenye nyavu ndio kulipigwa marufuku 2012 lakini sio pembeni ya mlingoti wa goli.
Weka kanuni sio unavyopenda wewe.
Pembeni wapi, Taulo halitakiwi ndani ya nyavu Wala sehemu yoyote inayo husisha sehemu ya kuchezea Wala kuli ning'iniza nyavuni.
Wenzetu wa Magharibi kwakua haliya hewa ni unyevu na mvua taulo linatumika marakwamara kufutia maji na matope ila uku kwetu ata wakati wa kiangazi makipa Wana beba taulo.
 
Kubisha kwa minajili ya kubisha.Kanuni ipi inakataza huku tusitumie na wa magharibi watumie ndio swali langu.
Kama huuna jibu basi ni assumption tu au mawazo yako mwenyewe. Ingekuwa zinakataliwa basi ingekuwa issue kwenye maamuzi ya kuwaadhibu wanaokimbilia kuzitoa.
Kanuni zingesema wazi kwamba hairuhusiwi.Huwezi kuadhibiwa kwa kutoa kitu kisichoruhusiwa.Ni common sense au ni ngumu kuelewa?
 
Ndugu mbumbumbu hakuna Sheria yoyote katika Sheria 17 za soccer inayo mzungumzia taulo, ila kilichopo hairuhusiwi kitu chochote ata mpira wa ziada kuwepo ndani ya goli Achana na chupa ya maji au taulo.
Sheria za soccer ni 17 tu ila Kuna vitu vingi katika soccer ambavyo havijaingizwa katika Sheria ila ni kanuni na common sense.
 
Uchawi ni uchawi tu ukifanywa na refactoring au mchezaji ni uchawi tu

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo wale wachezaji walioadhibiwa kwa kutoa taulo waliadhibiwa kwanini?Mpira wa extra hauruhisiwi uwanjani kwa sababu utaleta mkanganyiko.Taulo inaruhusiwa ndio maana waamuzi hawayatoi.Jibu hoja kwa hoja sio upumbavu w kuitana majina.
 
Yanga wachawi sana
Wachawi ni wale wanao tambuliwa Tff na CAF, Wachawi ni wale ambao mpaka Sasa zimeshafika klabu 6 zilizotuma malalamiko pale CAF kutoka nchi tofauti Afrika zilizo lalamikia Simba na ushirikina katika mechi za vilabu Africa zilizo chezea DAR.
 
Kwa hiyo wale wachezaji walioadhibiwa kwa kutoa taulo waliadhibiwa kwanini?Mpira wa extra hauruhisiwi uwanjani kwa sababu utaleta mkanganyiko.Taulo inaruhusiwa ndio maana waamuzi hawayatoi.
Baki na uwelewa wako kama mtafiti Rage alishathibitisha sisi tuliobaki ni kuomba ujenzi wa mnara wake uharakishwe.
 
Taulo haliruhisiwi ndani ya goli... Sheria ipi hiyo inayokataza uwepo wa taulo ndani ya goli???
 
Reactions: Tui
Taulo haliruhisiwi ndani ya goli... Sheria ipi hiyo inayokataza uwepo wa taulo ndani ya goli???
Msisitizo wangu unabaki katika ujenzi wa Mnara uharakishwe.
Hii bahari ya soccer mtupishe nendeni mkaogelee kwenye mito.
 
Aliyeondoa ndiye mshirikina au aliyeweka!
 
simba wametozwa milion 1 kosa ushirikina
dawa mlikutwa mnamwaga uwanjan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…