Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Basi msiwashauri wachezaji kuweka mataulo ndani ya goli. Otherwise uache ubishi kama hujui vituSheria ipi kwenye 17 za mpira zinakataza ?Kuamini kwamba taulo linazuia goli ni ujinga wa hali juu.