THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Jamani moja ya kitu ambacho wazungu wametupiga K.O nacho ni hili.
Wachambuzi wengi walimwingiza mkenge Fei kwa kigezo cha kusema eti Mpira ni ajira na kuna siku utafikia kikomo. Yes, tunakubali hatukai ila ukweli Mpira wowote duniani lazima Uucheze na lazima utwae makombe.
Kama hupati nafasi ya kucheza hapo ndio unaweza sema nataka niondoke hapa hata kama unatwaa makombe maana mpira wowote alzima uucheze usipoucheza hutopata watu wakukuona na kukusajili ambapo pengine wale ndio watakupa hela Nyingi uzitakazo.
Fei angekaa Yanga leo hii angekua anasakwa na team Nyingi za Nje sana ambazo naamini kabisa zingekua zinampa hela nyingi kuliko anayopata saivi pale Azam believe Me or not.
Saivi hafatiliwi maana Azam haina chochote na kwa mfumo wa soka la Afrika team hazifanyi scout zinafata mtu anaesemwa sana na team inayoongolewa sana ambayo now ni Yanga.
Fei washauri walimponza hata Ronaldo alikua maskini sana ila aliamini aucheze kwanza mpira sehemu atakayoonekana na atwae vikombe.
HARRY KANE NOW ANAHAHA ANAZIDIWA VIKOMBE HADI NA JOHN EVANS.
Pia soma: Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB
Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?
Wachambuzi wengi walimwingiza mkenge Fei kwa kigezo cha kusema eti Mpira ni ajira na kuna siku utafikia kikomo. Yes, tunakubali hatukai ila ukweli Mpira wowote duniani lazima Uucheze na lazima utwae makombe.
Kama hupati nafasi ya kucheza hapo ndio unaweza sema nataka niondoke hapa hata kama unatwaa makombe maana mpira wowote alzima uucheze usipoucheza hutopata watu wakukuona na kukusajili ambapo pengine wale ndio watakupa hela Nyingi uzitakazo.
Fei angekaa Yanga leo hii angekua anasakwa na team Nyingi za Nje sana ambazo naamini kabisa zingekua zinampa hela nyingi kuliko anayopata saivi pale Azam believe Me or not.
Saivi hafatiliwi maana Azam haina chochote na kwa mfumo wa soka la Afrika team hazifanyi scout zinafata mtu anaesemwa sana na team inayoongolewa sana ambayo now ni Yanga.
Fei washauri walimponza hata Ronaldo alikua maskini sana ila aliamini aucheze kwanza mpira sehemu atakayoonekana na atwae vikombe.
HARRY KANE NOW ANAHAHA ANAZIDIWA VIKOMBE HADI NA JOHN EVANS.
Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?