Mchezaji yeyote duniani hutafuta vitu viwili tu, Kucheza na kushinda Makombe

Mchezaji yeyote duniani hutafuta vitu viwili tu, Kucheza na kushinda Makombe

Wewe unajua dau la Mbape kwenda Madrid au unasema tu... 😀 😀
Tatizo mnakurupuka tu Mbappe kaenda Free ĺabda issue ni signing fee kitu ambacho sio big deal..na hela atakayolipwa kule angeweza kupewa PSG mara mbili.


NISEME HIVI WOTE MNABWABWAJA TU MI KUHUSU MPIRA MTAPIGA KILA ENGO NAELEWA FEI MWAMBIEN ATAKUJA KUKUMBUKA UZEEN

Ndio Yaleyale ya Ajibu alitakiwa na Tp Mazembe akasema maslah issue wananipa kidogo akachagua Simba saiv kila mda hua mnamsema alizingua huyu yani alikua na Talent kinoma kwanini msiseme issue ya Pesa Kwanza?
 
Vikombe sio muhimu kwake, pesa ndio muhimu......hata akiachwa kuna timu zitamchukua kwa pesa vile vile. Yupo kwenye kiwango bora kwa sasa.
Ajibu ilikuaje leo hua mnamsema si alichagua Pesa simba akakataa kwenda Mazembe mbona yeye hua hamsemi hivi?

Mda utafika na Fei mtamsema tu..Tusubirie.
 
Shida unachanganya mambo huwezi kuwazungumzia Mbape au Rodrygo (wachezaji wa ulaya)tayari wana pesa za kutosha halafu ufananishe na maisha ya wachezaji wa Tanzania lastly uje kumlaumu Feisal!
Issue mnajichanganya wenyewe mara mseme hakuna mchezaji anaweza fanya hivo tutajie nawatajia saiv mnasema mara usiwachanganye..Ujue kuna wachezaji walikua maskin sana ila wakagoma kwenda Team flani wakataka kwanza kujijengea rekodi zao wakiamin hayo maisha yapo tu.

Ronaldo aligoma sana kwenda China ila saiv vipi si yupo saudia aligoma coz alitaka kutengeneza rekodi zake ndio kitu kinamfanya hata siav bado analipwa pesa ndefu japo kazeeka ndio kitu kinamfanya alambe madeal makubwa makubwa.

Eleweni unapokua unatafta pesa hakikisha pia unatengeneza mianya ya kua hapo baadae pesa ziendelew ku flow hata kama huchez Fei huyu atachuma saiv ila baadae zitakata na atazeeka mara Mungu anampa maisha marefu baadae zinaisha kabisa anarudi kuombaomba misaada.
 
Issue mnajichanganya wenyewe mara mseme hakuna mchezaji anaweza fanya hivo tutajie nawatajia saiv mnasema mara usiwachanganye..Ujue kuna wachezaji walikua maskin sana ila wakagoma kwenda Team flani wakataka kwanza kujijengea rekodi zao wakiamin hayo maisha yapo tu.

Ronaldo aligoma sana kwenda China ila saiv vipi si yupo saudia aligoma coz alitaka kutengeneza rekodi zake ndio kitu kinamfanya hata siav bado analipwa pesa ndefu japo kazeeka ndio kitu kinamfanya alambe madeal makubwa makubwa.

Eleweni unapokua unatafta pesa hakikisha pia unatengeneza mianya ya kua hapo baadae pesa ziendelew ku flow hata kama huchez Fei huyu atachuma saiv ila baadae zitakata na atazeeka mara Mungu anampa maisha marefu baadae zinaisha kabisa anarudi kuombaomba misaada.
Unaijua 'life span' ya mpira wa bongo?Narudia tena huwezi kufananisha mpira wa ulaya na bongo halafu umtie kitanzini Fei.Yanga walimpa mkataba wa miaka minne ndio maana alistuka,Feisal ametumia akili sana kwenye kuangalia kesho yake!
 
Ajibu ilikuaje leo hua mnamsema si alichagua Pesa simba akakataa kwenda Mazembe mbona yeye hua hamsemi hivi?

Mda utafika na Fei mtamsema tu..Tusubirie.
Fei na Ajibu ni watu wawili tofauti kabisa......Ajibu alikwenda Yanga kutokea Simba kwa sababu ya pesa...umesahau?
 
Umewahoji wangapi?
Au ndie fei toto?
Luis Figo alitoka Barca kwenda Madrid, Beckham kutoka united kwenda Madrid, Alex song kutoka arsenal kwenda Barca, Partey kutoka Atletico kwenda arsenal, kroos kutoka Bayern kwenda Madrid, etoo kutoka inter kwenda anzhi ya urusi, Idris gana kutoka everton kwenda psg,fei toto yanga kwenda Azam, harry moris kutoka prison kwenda yanga, said mhando kutoka prison kwenda yanga nk hao wote walihama timu kufuata maslahi, kroos na Alex song walisema waziwazi kwenye interview, wengine ilithibitika baada ya mikataba na vilabu vipya kuwekwa hadharani
 
Luis Figo alitoka Barca kwenda Madrid, Beckham kutoka united kwenda Madrid, Alex song kutoka arsenal kwenda Barca, Partey kutoka Atletico kwenda arsenal, kroos kutoka Bayern kwenda Madrid, etoo kutoka inter kwenda anzhi ya urusi, Idris gana kutoka everton kwenda psg,fei toto yanga kwenda Azam, harry moris kutoka prison kwenda yanga, said mhando kutoka prison kwenda yanga nk hao wote walihama timu kufuata maslahi, kroos na Alex song walisema waziwazi kwenye interview, wengine ilithibitika baada ya mikataba na vilabu vipya kuwekwa hadharani
Hizi Blog zinawaharibu sana😁
 
Back
Top Bottom