Daaah. umenikumbusha kuogolea mixer boys and girls kuanzia asubuhi hadi jioni, ukitoka humo macho mekundu unaona ukungu tu, jumlisha na kidali poo cha kwenye maji na ule mchezo wa kitoto toto kwa wale wakubwa kidogo.Me nilikuwa nikipenda Sana kuogelea yani nilikuwa nitoka Asubuhi hata lunch nasahau narudi jioni
Sasa hapo jioni naporudi ndo napokutana na matokeo ya nilichofanya
Mpaka nikawa nafungiwa geti hamna kutoka
😂😂😂mkuu paka na mbwa ulikuwa unawapeleka wapi 🤷Sema nilichokuwa napenda hii michezo ilikuwa inakuja kama trend kwa kipindi fulani, mfano kuna wakati mtaa mzima ni malingi tuu, mara mtaa utaamia kwenye golori, kipindi cha kombolela, kitakuja kipindi cha manati sana
Sema tumeenjoy udogo wetu sana, juzi napiga story na vitoto fulani pale mbweni havijuo ata kutengeneza manati ahahah
Mchezo nilikuwa napenda ni uwindaji ndege, kuwinda paka na mbwa, na mpira.
siku izi wapo bize wanachezea remote wanachek movie
[/QUOTE ]Kabisa mkuu,Siku hizi michezo mingi tuliyocheza zamani inapotea taratibu hata kombolela nayo imeanza kupotea enzi zile mid a ya jioni mtaani kelele za watoto Sikh hizi kimya.
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu paka na mbwa ulikuwa unawapeleka wapi 🤷
😂😂😂AiseeKuwinda paka kutumia mbwa , nilikuwa napenda tuu kuwakimbiza na kuwatesa
Hiyo tunazungumzia enzi hizo..yap nilikuwa karibu na golini.nilikuwa nikicheza mpira wa miguu nafurahi mno...ingawa nilikuwa siujui vizuri😅😅😅kumbe ulikuwa mtalaamu wa kupiga chenga kweye futiboli au ukicheza golini?
Mimi need4speed na mortal kombat peke yake ndiyo michezo niliyocheza na mpaka leo nacheza. Hiyo mingine sikuwahi.Need For Speed Most Wanted
Kuna game fulani hivi nimesahau jina lake liko unachagua ukaokoe watu kwenye train ama meli(nalitafuta hadi sasa ni zuri kinyama)
Na lingine la kuua maaskari nimesahau jina lake
troublemaker unakumbuka?
Mortal kombat sijawahi kuielewaMimi need4speed na mortal kombat peke yake ndiyo michezo niliyocheza na mpaka leo nacheza. Hiyo mingine sikuwahi.
Mdako na rede kulwa hukucheza?
tatizo la kukulia ushuani😀😀Mortal kombat sijawahi kuielewa
Hapana sijacheza mdako na rede