Mchezo gani wa utoto ulikuwa unaupenda sana?

Mchezo gani wa utoto ulikuwa unaupenda sana?

tobo dunda hauna jina lingine huu mchezo?,

Nakumbuka sisi tulikuwa tunacheza gizani mtu mmoja anapanua miguu tunajificha alafu tunamtegea tunakimbia kwa kasi tunapita tobo bila kukutaja jina iwe tunapitia kwa nyuma au mbele yani ni timing na ukizembea anakutandika kibao cha mgongoni utagulia maumivu mbele ya safari
Sisi tulikuwa tunatumia mpira kucheza ukipitishwa mpira tobo unapewa mangumi ya mgongo...
 
Sisi tulikuwa tunatumia mpira kucheza ukipitishwa mpira tobo unapewa mangumi ya mgongo...
😂😂😂😂sisi hatupigana kwa ajili kupitishana tobo tulikuwa tunakucheka mpaka basi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😝😝😜😜😝😜😝😜😝😜
 
Huo mchezo huwa kinawekwa kijiti kwa juu Sasa ww kula kwa pupa kisha kianguke ndipo utakiona cha moto
Sasa kuna wakati unakiangusha kwa bahati mbaya alafu hujajipanga kukimbia 😂😂😂😂😂aisee watakufaidi chap kwa haraka umevamiwa
 
Kombolela na tukijificha tulikua hatuonekani teeena 😋
 
Kuna mchezo wa kupigana kimasihara adi hasira zinapanda mnapigana kweli.
 
Back
Top Bottom