tatizo la kukulia ushuani๐๐
Series za Mortal K ni Games nzuri sana hasa ukute mko wawili kila mtu na character wake.
Nimecheza sana๐ hiyo ukiguswa kidali unaenda kushika ukuta mwenzio akipita unakuwa umeokokaWala sijakulia ushuani,ni vile mimi na kaka zangu hatukuwa na interest na michezo ya nje sana....tumecheza sana pia tobo bao,unaijua?
tobo dunda hauna jina lingine huu mchezo?,Kula mbakishie baba na tobo dunda
Kula mbakishie baba wazembe walikuwa hawachezi maana watapigwa mpaka watakoma, kuna watu walikuwa wanakera ata ukijitaidi vipi lazima wakukute wakutembezee kichapoKarata na rede niliipenda sana.
Kula mbakishie baba, huu mchezo ulikua wa hatari ila niliupenda nao
Uko hivi,mnaamua kuucheza mchezo huu pale mnapoagana ili pindi mtakapoonana atakayewahi kumwambia mwenzake KISIKIO POO! Basi atakuwa na haki ya kumpiga mwenzake sikioni kwa kidole cha shahada,hapo itaangaliwa ni siku gani,kama ni jumatatu atampiga mara 3,kama jumamosi mara moja,jumatano mara 5 n.kmkuu naomba maelekezo wa mchezo wa kisikio poo!!
Du huu si Sijawai kucheza,na vipi ikiwa ijumaa,jumamosi na alhamisi?Uko hivi,mnaamua kuucheza mchezo huu pale mnapoagana ili pindi mtakapoonana atakayewahi kumwambia mwenzake KISIKIO POO! Basi atakuwa na haki ya kumpiga mwenzake sikioni kwa kidole cha shahada,hapo itaangaliwa ni siku gani,kama ni jumatatu atampiga mara 3,kama jumamosi mara moja,jumatano mara 5 n.k
Kwahiyo unatakiwa utembee kwa kujificha na kuwawahi wenzako lรก sivyo wakikuwahi watakuwa wanakupiga mpaka sikio linawaka moto!
Nalog off
Jumamosi mara 1,alhamisi mara 6 na ijumaa ni mara 7Du huu si Sijawai kucheza,na vipi ikiwa ijumaa,jumamosi na alhamisi?
Ule wa kwenda kujificha eeh? Hata mimi nilikuwa naupenda! ๐๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธ๐ถโโ๏ธBaba na mama na kombolela
Huu mchezo wengi walikua wanaishia kuliaKula mbakishie baba wazembe walikuwa hawachezi maana watapigwa mpaka watakoma, kuna watu walikuwa wanakera ata ukijitaidi vipi lazima wakukute wakutembezee kichapo
Lakni wao hawapigiki yani ni hodari wa mbio na Kukwepa watu mpaka anafika sehemu yakugusa mti
Michezo mingi ya utoto ilikuwa ni ya kupigana na kuoneana yani ubabe ubabe tu,Huu mchezo wengi walikua wanaishia kulia
Tulikua tunauita hivyo hivyo, yaani tunacheza mpira wa miguu bila kuweka magoli, tunapigana chenga ila ikitokea mtu akapigwa tobo basi anapigwa makofi hadi akashike mti ndio pona yaketobo dunda hauna jina lingine huu mchezo?
Mmmmh kumbe, sisi ilikuwa tunagawana mfano tupo 6 basi ni timu 2 kwa idadi ya 3 kwa 3 alafu tunapiga pasi na chenga za kufa mtu uku tukipitishana tobo na tunaesabu izo tobo kwa timu husika hatukuwa tunapigana mokofi ila unadhalilishwa kwa kupitishwa tobo unaonekana mzembe,Tulikua tunauita hivyo hivyo, yaani tunacheza mpira wa miguu bila kuweka magoli, tunapigana chenga ila ikitokea mtu akapigwa tobo basi anapigwa makofi hadi akashike mti ndio pona yake