Huo mchezo huwa kinawekwa kijiti kwa juu Sasa ww kula kwa pupa kisha kianguke ndipo utakiona cha motokula mbakishie baba ukitufundisha baba hanyimwi chakula maana ndio mtafutaji
Sisi tulikuwa tunatumia mpira kucheza ukipitishwa mpira tobo unapewa mangumi ya mgongo...tobo dunda hauna jina lingine huu mchezo?,
Nakumbuka sisi tulikuwa tunacheza gizani mtu mmoja anapanua miguu tunajificha alafu tunamtegea tunakimbia kwa kasi tunapita tobo bila kukutaja jina iwe tunapitia kwa nyuma au mbele yani ni timing na ukizembea anakutandika kibao cha mgongoni utagulia maumivu mbele ya safari
ππππsisi hatupigana kwa ajili kupitishana tobo tulikuwa tunakucheka mpaka basiπππππππππππππππππππSisi tulikuwa tunatumia mpira kucheza ukipitishwa mpira tobo unapewa mangumi ya mgongo...
Sasa kuna wakati unakiangusha kwa bahati mbaya alafu hujajipanga kukimbia πππππaisee watakufaidi chap kwa haraka umevamiwaHuo mchezo huwa kinawekwa kijiti kwa juu Sasa ww kula kwa pupa kisha kianguke ndipo utakiona cha moto
Zaidi ya hapo aiseeKwani na ww alikukandamiza na goti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna mchezo wa kupigana kimasihara adi hasira zinapanda mnapigana kweli.