Mchezo mchafu kwenye zoezi la sensa

Mchezo mchafu kwenye zoezi la sensa

Kba

Member
Joined
Jul 15, 2022
Posts
5
Reaction score
5
Mchezo mchafu uliofanyika kwenye zoezi la kuwapata makarani na wasimamizi maudhui huenda likaathiri upatikanaji wa taarifa sahihi kutokana na sababu kuu 2. 1-vijana wengi waliopatikana wamepatikana kwa njia isio sahihi yaani Rushwa na upendeleo.

Mfano kwenye kata yangu mtendaji wa Kijiji amejaza watu wake anao wajua na ndugu zake ambao hawakutuma hata maombi ya sensa.

Mwalimu mkuu wa shule jirani na kata husika ameita ndungu zake kutoka Mbeya na Geita wote hawakutuma maombi ukiangalia orodha ya majina iliyotoka kwenda semina majina yapo 33 Kati ya hao walio fanya usahili na kupita ni 2 tu hao 31 hawajulikani wametokea wapi 2- sababu ya pili kuwaengua watumishi na kujaza raia weng wa mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu.
 
Mkuu kwa nini na wewe hukutoa rushwa uwe unakiongeza!! Saa hii jina lako lingekuwa miongon mwa hao 33
 
Mchezo mchafu uliofanyika kwenye zoezi la kuwapata makarani na wasimamizi maudhui huenda likaathiri upatikanaji wa taarifa sahihi kutokana na sababu kuu 2. 1-vijana wengi waliopatikana wamepatikana kwa njia isio sahii yaani Rushwa na upendeleo mfano kwenye kata yangu mtendaji wa Kijiji amejaza watu wake anao wajua na ndugu zake ambao hawakutuma hata maombi ya sensa,mwalimu mkuu wa shule jirani na kata husika ameita ndungu zake kutoka mbeya na geita wote hawakutuma maombi ukiangalia orodha ya majina ilyotoka kwenda semina majina yapo 33 Kati ya hao walio fanya usahili na kupita ni 2 tu hao 31 hawajulikani wametokea wapi.2- sababu ya pili kuwaengua watumishi na kujaza raia weng wa mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu.
Kuwa tu mpole. Hii ndiyo Tanzania.
 
Usikute unaeleta hizi lawama ni mwajiriwa kabisa!!

Kwahiyo wewe takwimu umesomea wapi??

Ridhika na ulichonacho nyie ndo mmefanya majobless wasipate hizo ajira kwa tamaa zenu.
 
Mchezo mchafu uliofanyika kwenye zoezi la kuwapata makarani na wasimamizi maudhui huenda likaathiri upatikanaji wa taarifa sahihi kutokana na sababu kuu 2. 1-vijana wengi waliopatikana wamepatikana kwa njia isio sahihi yaani Rushwa na upendeleo.

Mfano kwenye kata yangu mtendaji wa Kijiji amejaza watu wake anao wajua na ndugu zake ambao hawakutuma hata maombi ya sensa.

Mwalimu mkuu wa shule jirani na kata husika ameita ndungu zake kutoka Mbeya na Geita wote hawakutuma maombi ukiangalia orodha ya majina iliyotoka kwenda semina majina yapo 33 Kati ya hao walio fanya usahili na kupita ni 2 tu hao 31 hawajulikani wametokea wapi 2- sababu ya pili kuwaengua watumishi na kujaza raia weng wa mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu.
Ndugu mtumishi WA umma,uwe na shukran.Unasema Sensa imeacha watumishi na kujaza vijana WA mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu,wewe kuita majina kwenye attendance ya wanafunzi tayari umeshakua mtakwimu? Watumishi asilimia kubwa tuko na roho mbaya.Ridhika na kipande kidogo cha keki ya taifa unayoipata.Acha vijana ambao unasema hawana uzoefu wapate uzoefu na kipande cha keki ya taifa kiwasaidie kununua mahitaji Yao madogomadogo.
Kukosa KAZI ya sensa unakuja kufungua Uzi[emoji849]
 
Pole Kaka lakini hapa hujatoa malalamiko ila umetoa mapendekezo kwa sensa ijayo na Kama unaamini unacholalamika kitafanyiwa kazi karibuni ni kujidanganya mwenyewe. Zoezi la kuwapata makarani wa sensa ya 2022 Sasa ni historia
 
Ndo tupo ndan....semina inakarbia kuanza....maombi yenu tafadhal
 
Ndugu mtumishi WA umma,uwe na shukran.Unasema Sensa imeacha watumishi na kujaza vijana WA mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu,wewe kuita majina kwenye attendance ya wanafunzi tayari umeshakua mtakwimu? Watumishi asilimia kubwa tuko na roho mbaya.Ridhika na kipande kidogo cha keki ya taifa unayoipata.Acha vijana ambao unasema hawana uzoefu wapate uzoefu na kipande cha keki ya taifa kiwasaidie kununua mahitaji Yao madogomadogo.
Kukosa KAZI ya sensa unakuja kufungua Uzi[emoji849]
Hajui bila kupata uzoefu huwez kuwa mzoefu
 
Ndugu mtumishi WA umma,uwe na shukran.Unasema Sensa imeacha watumishi na kujaza vijana WA mtaani ambao hawana uzoefu na takwimu,wewe kuita majina kwenye attendance ya wanafunzi tayari umeshakua mtakwimu? Watumishi asilimia kubwa tuko na roho mbaya.Ridhika na kipande kidogo cha keki ya taifa unayoipata.Acha vijana ambao unasema hawana uzoefu wapate uzoefu na kipande cha keki ya taifa kiwasaidie kununua mahitaji Yao madogomadogo.
Kukosa KAZI ya sensa unakuja kufungua Uzi[emoji849]
Kaumwa na upendeleo na rushwa... Sio sahihi kwa mtu ambaye hakufanyiwa usaili aokotwe mtaani na kuajiriwa... Wangeajiri hao vijana waliosailiwa. Sio ajabu hao wasiosailiwa wameajiriwa kwa kutumia majina na vyeti vya walioshinda kwenye usaili... Malalamiko yake japo yalilenga kujitetea kama mtumishi wa umma aliyeenguliwa yanawaza kuwa na ka ukweli !!
 
Tusipomsikiliza leo mtoa mada kwenye vita ya wenye ajira na wasio na ajira tutashindwa kutibu tatizo likifika kwa wasio na ajira dhidi ya wasio na ajira
 
Kaumwa na upendeleo na rushwa... Sio sahihi kwa mtu ambaye hakufanyiwa usaili aokotwe mtaani na kuajiriwa... Wangeajiri hao vijana waliosailiwa. Sio ajabu hao wasiosailiwa wameajiriwa kwa kutumia majina na vyeti vya walioshinda kwenye usaili... Malalamiko yake japo yalilenga kujitetea kama mtumishi wa umma aliyeenguliwa yanawaza kuwa na ka ukweli !!
Kero yake kubwa ni watumishi kuenguliwa akiwemo yeye,na kuwekwa raia WA mtaani.
 
Back
Top Bottom