Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena sanaaaSafi sana
Unaongea ukiwa Burundi au Bangui? Yaani nchi ambayo ukiwa Tabora unapiga Popote unapotaka ukienda Karagwe itakuwaje si unalenga Ikulu na RPGRwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Acha masikhara wewe..Ka nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?
Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.Unaongea ukiwa Burundi au Bangui? Yaani nchi ambayo ukiwa Tabora unapiga Popote unapotaka ukienda Karagwe itakuwaje si unalenga Ikulu na RPG
I'm telling! Kwa Sasa Rwanda military capability yake anaijua Congo anavyochakazwaga kule Goma na kuibiwa madini akiwa kasimama mchana kweupe na hakuna kitu atafanya.Acha masikhara wewe..
Tunajua ni jinsi gani Rwanda imenunua watu wa kufanya Propaganda hapa, Kuna hata watangazaji hawamalizi kipindi bila kutaja Rwanda, mfano Ciza wa Clouds na Power Breakfast, wewe ni mmoja wapo kwahiyo haishangazi. Ila Tanzania na kila mtu anajua kwa ukanda huu vita mbaya na ngumu kwetu hakuna kwa majirani zetuIngekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.
Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.
Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?
Mungu tunusuru! [emoji848]
Ila Tanzania tulikuwa na propaganda Mara tunaongoza kwa Vita ya chini Duniani!?Tunajua ni jinsi gani Rwanda imenunua watu wa kufanya Propaganda hapa, Kuna hata watangazaji hawamalizi kipindi bila kutaja Rwanda, mfano Ciza wa Clouds na Power Breakfast, wewe ni mmoja wapo kwahiyo haishangazi. Ila Tanzania na kila mtu anajua kwa ukanda huu vita mbaya na ngumu kwetu hakuna kwa majirani zetu
Ww unahisi Rwanda wanaweza kuipiga Tz sababu wametuliza hao gaidi msumbijiIla Tanzania tulikuwa na propaganda Mara tunaongoza kwa Vita ya chini Duniani!?
Mara sisi Ni wa pili Duniani kwa intelligensia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za Mwl it was funny.
Rwanda wako vizuri Sana, na Kuna siku wataiteka nchi hii na kuitawalaIngekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.
Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.
Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?
Mungu tunusuru! [emoji848]
Nilishawahi kuishi Rwanda anijua military capability yao.Ww unahisi Rwanda wanaweza kuipiga Tz sababu wametuliza hao gaidi msumbiji
Dude hahah you must be kidding!!!Huyu mbuzi hazeeki wala hachoki. Siku moja tutasikia kaichukua Kati ya Uganda au Tanzania.
Huyu jamaa ana akili afu mjanja mjanja na katili saana. Masterminder!View attachment 1884690