Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Ila Tanzania tulikuwa na propaganda Mara tunaongoza kwa Vita ya chini Duniani!?

Mara sisi Ni wa pili Duniani kwa intelligensia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Enzi za Mwl it was funny.
Hebu jiulize Tanzania wapi utafanya kitu usijulikane? Serekali ipo kila kona tofauti na kwingine utasikia hata ndege imepotea hakuna taarifa
 
Yaani Rwanda warisk maisha ya watoto wao kupigania maslahi ya ufaran

GDP ya nchi haiji kwa kulima mpunga au korosho aiseee! Hizo mission zina ingizia ile nchi kinoma sana,yani ikitokea deal ya kulinda amani Rwanda ndio inakuaga first nominated.ka check ni ya ngapi kua na wanajeshi wengi duniani walinda amani? Iko top 5.
 
Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.

IMG_20210807_222748.jpg


IMG_20210807_181945.jpg
 

Attachments

  • twitter_20210806_194859.mp4
    11.6 MB
Ka nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?

Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Kwani Tanzania iliruhusiwa kwenda cabo del gado? Majeshi yetu yalikuwa yanalinda mpaka wake tu.. hayakupewa kibali cha kuingia
 
Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.

View attachment 1884729

View attachment 1884732
Hiki ndio nilichokuwa najaribu kuwaambia washkaji... It's not about the population and it's about the Quality and the sophistication of the mentality.
 
Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.

 
Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.

Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.

Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?

Mungu tunusuru! [emoji848]
Unaifahamu A100, je pia unaifahamu range yake, nenda kasome ukishapata jibu ndio ukae chini ukiwa umeshiba uongee huu utumbo!
 
Back
Top Bottom