LaRosa
JF-Expert Member
- Jul 3, 2020
- 901
- 2,876
[emoji125][emoji125]Ume summarize vyema saana. [emoji119]Rwanda wako vizuri Sana, na Kuna siku wataiteka nchi hii na kuitawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji125][emoji125]Ume summarize vyema saana. [emoji119]Rwanda wako vizuri Sana, na Kuna siku wataiteka nchi hii na kuitawala
Maslahi ya Ufaransa. Ufaransa wamewekeza over 20B usd kwenye gas fields maeneo hayo. Magaidi waliwakimbiza mwezi March. Bila shaka Rwanda wametumwa na wamewezeshwa.Zitto Jrgeopolitical interests za Rwanda huku Cabo Delgado ni zipi na uwepo wa Rwanda una athari gani kwa usalama wa Tanzania katika ukanda huu ?
Huyu mgonjwa wa Akili kila siku mkewe anasafiri kumleta dawa bado mnasema atachukua nchiHuyu mbuzi hazeeki wala hachoki. Siku moja tutasikia kaichukua Kati ya Uganda au Tanzania.
Huyu jamaa ana akili afu mjanja mjanja na katili saana. Masterminder!View attachment 1884690
Hebu jiulize Tanzania wapi utafanya kitu usijulikane? Serekali ipo kila kona tofauti na kwingine utasikia hata ndege imepotea hakuna taarifaIla Tanzania tulikuwa na propaganda Mara tunaongoza kwa Vita ya chini Duniani!?
Mara sisi Ni wa pili Duniani kwa intelligensia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za Mwl it was funny.
Yaani Rwanda warisk maisha ya watoto wao kupigania maslahi ya ufaransa ?Maslahi ya Ufaransa. Ufaransa wamewekeza over 20B usd kwenye gas fields maeneo hayo. Magaidi waliwakimbiza mwezi March. Bila shaka Rwanda wametumwa na wamewezeshwa.
zitto juniorZitto Jrgeopolitical interests za Rwanda huku Cabo Delgado ni zipi na uwepo wa Rwanda una athari gani kwa usalama wa Tanzania katika ukanda huu ?
Yaani Rwanda warisk maisha ya watoto wao kupigania maslahi ya ufaran
Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.Magaidi wamesha ukimbia muji wa afungi kwa sasa! Hari iko shwari,soon raia watarudi kwenye makazi yao. SADC bado wana panga mabegi kwenda ku saidia mwanachama.
View attachment 1884673
View attachment 1884674
View attachment 1884675
View attachment 1884676
View attachment 1884677
View attachment 1884678
View attachment 1884679
View attachment 1884680
View attachment 1884681
View attachment 1884682
View attachment 1884684
View attachment 1884685
Ukiitwa gaidi usimlaumu mtu.Rwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Magaidi sio watu wema. Huwa hawana agenda.Wale jamaa wa Haki za binadamu wako wapi waanze kulilia Haki za magaidi.
Kwani Tanzania iliruhusiwa kwenda cabo del gado? Majeshi yetu yalikuwa yanalinda mpaka wake tu.. hayakupewa kibali cha kuingiaKa nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?
Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Wewe unaongea kwa hisia tu, Rwanda hakuna nchi anayoiogopa kama TZ bila sisi Congo East ingekuwa ishamezwa na KagameRwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Hiki ndio nilichokuwa najaribu kuwaambia washkaji... It's not about the population and it's about the Quality and the sophistication of the mentality.Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.
View attachment 1884729
View attachment 1884732
Mm nimesoma Rwanda, that's just a police state, hawana military capability ya kudeal na Tz, labda kama umeamua tu kubwabwaja.Nilishawahi kuishi Rwanda anijua military capability yao.
Hamna Namna naona unajaribu kuwa mzalendo ila deep down... Those guys are getting better and better.Mm nimesoma Rwanda, that's just a police state, hawana military capability ya kudeal na Tz, labda kama umeamua tu kubwabwaja.
Nyie endelea na ubishi wenu,sijui nani mkali?nani mwenye uwezo? Eti ka nchi kama kariakoo! Tunaweza tukawa millions for nothing ila one or two people wa kafanya mambo makubwa. Mie kazi yangu ni kuwapa updates. Check video hapo chini how smart and professional they are!. Remember how big israel is but midle east wanachakazwa everyday.
Unaifahamu A100, je pia unaifahamu range yake, nenda kasome ukishapata jibu ndio ukae chini ukiwa umeshiba uongee huu utumbo!Ingekuwa hivyo kanchi Kama uingereza kasinge itawala Dunia... It's not about quantity.. it's about quality.
Rwanda wamenunua air defense system hivi karibu toka China zenye uwezo wa kupangua hivyo vi RPC Kama maji.
Tanzania hatuna any smart defense system Hadi sasa tunalindwa ba Mungu na maombi. Rwanda wakiamua kuanzisha Vita na sisi kamasi litatutoka coz expertise waliyonayo na Quality Military artillery zitatufanya tutubu na tuanze kuongea kinyarwanda. Amakuru yawe!? Mwidiwe!?
Mungu tunusuru! [emoji848]