Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Mchezo umeisha! Msumbiji huru sasa

Ka nchi kenye ukubwa wa kariakoo kutoka mashariki mwa Africa leo kameenda kuzima jaribio la kigaidi lililoitesa Mozambique na SADC nzima?

Afu tunataka kusema Tanzania tunaweza kuwahimili Rwanda kijeshi... Mnatania nyie.
Sidhani kama unajua kilichowapata M23 kule DRC enzi za JK akiwa Presdaa; ungelijua hilo ungekuja na kauli tofauti na uliyoitoa hapo juu.
M23 walikuwa na full backup ya haohao unaowapigia chapuo; walisumbua kiasi cha kutaka kuiondosha serikali iliyokuwa madarakani DRC wakati ule!!
Juliet Whiskey Tango Zulu ndio waliowafurusha hao vijana wa "Tall" kutoka DRC; mpaka "Tall" akanuna!!
Leo hii kwa kuwa vijana wa "Tall" wameondosha "kikundi" cha freelance wapiganaji, wasiokuwa na mkakati wowote wa kijeshi, majambazi, wezi na waporaji unawapa credit vijana wa "Tall"?
Hapakuwa na vita huko Msumbiji; palikuwa na ujambazi tu. Kilichofanyika ni jambazi kukabili jambazi mwenzie tu.
Hakuna vita ya kuua raia, kuiba mali za raia na kubaka; vita ni combat kati ya askari na askari; na ni kitendo halali pale nchi inapokuwa imevamiwa kijeshi " fully" sio kwa insurgents au majambazi kama wa Msumbiji. Umeelewa?
 
Kuna watu wana akili fupi nyie.Kha! Yani wakijadili masuala ya vita wanayajadili kama mechi za Yanga na Simba. Ni wazi wana upeo mdogo sana wa ulimwengu na yaliyomo. Ukijadili vita kati ya nchi za Kiafrika, sahau suala la ujuzi. Eti Tz bora kuliko Kenya, au Kenya bora kuliko Uganda ama Uganda bora kuliko Malawi ama kinyume chake. Asilimia 9.99999ya nchi zetu hizi zinategemea misaada. Hata mkisema mnanunua sialaha kwa pesa zenu, utakachonunua Mtz ndicho atanunua Mganda. Ukimsikia mmoja wenu ana zana kali basi ujue Biden au mkubwa kawekeza hapo kwa maslahi yao. Kushinda vita dhidi ya nchi nyingine kutategemea kina Urusi, Marekani, China, Ufaransa n.k. wapo wapi. So, mnapofikia hatua hadi ya kutukanana eti nchi X ni kali kivita dhidi ya nchiY mnaonekana mapunguani. Watu hamtengenezi silaha zozote, labda risasi tu tena chini ya bajeti inayofadhiliwa na watemi. Wataalamu wenu wanasomeshwa na haohao. Hivi tunaongea ukute kuna wanajeshi wa Kenya, Uganda, Tz na Rwanda wapo wanakula kozi chuo kimoja pale Israel. Kesho utasikia wamarekani wana mazoezi ya pamoja na jeshi la Kenya, mwakani utasikia kitu kama hicho Rwanda n.k. Sasa huo ukali kijeshi mkazidiana mnautoa wapi?

Hoja yangu ni kuwa tunafananafanana tu. Hatuna lolote la maana. Vita zetu hutegemea sana kina Marekani. Mtashinda tu kama mmedhaminiwa na wakubwa zaidi.

Acheni uzushi, Afrika bado sana
 
Tuache blah blah tulipongeze jeshi la rwanda kwa kazi nzuri waliyoifanya hongera sana even UN can rent special forces from rwanda for now good works god bless them pia usalama wetu kusini utaimarika,inanistaajabisha sana jinsi jamaa walivyokuwa wanawahenyesha askari wa msumbiji.
 
Tz tunjua mipasho,kuongea sana,kila mtu anajua,wajuaji halafu ata debe la mahnd lipande liuzwe laki kila mtu atalalamikia kwke na kesho yke mahnd tutanunua,tuipe credt rwanda kw hili na si kuibeza.
 
That should be watched very closely tough the focus might may be mainly on........
Je hivyo vikosi havitaanza kupata mafunzo kwa siri kutoka kwa hao vijana wa slim vianze kusumbua Tanzania hasa ukizingatiwa gas yetu Mtwara ?
 
That should be watched very closely tough the focus might may be mainly on........
Ukiangalia diplomatic relations yetu na Rwanda ni ya kutilia shaka sana hasa ukizingatia uwepo wa vikosi vyetu kule Congo ni mwiba mkali kwa waasi wanaoungwa mkono na Rwanda huko, pamoja na mgogoro wa kidiplomasia uliotokea kipindi cha JK ?

Hatuoni kuwa yawezekana uwepo wao huku kwetu kutakuwa threat kubwa kuliko hao majambazi wa madevu na mapanjabi ?
 
Ukiangalia diplomatic relations yetu na Rwanda ni ya kutilia shaka sana hasa ukizingatia uwepo wa vikosi vyetu kule Congo ni mwiba mkali kwa waasi wanaoungwa mkono na Rwanda huko, pamoja na mgogoro wa kidiplomasia uliotokea kipindi cha JK ?

Hatuoni kuwa yawezekana uwepo wao huku kwetu kutakuwa threat kubwa kuliko hao majambazi wa madevu na mapanjabi ?

Rwanda Wanaweza wakaifanya nini Tz wkt hayo majeshi ya Rwanda hapo Msumbiji yalipo yamezungukwa na majeshi ya Sadc?Rwanda imeshapigana na Zimbabwe,Angola,Namibia huko Congo kwa hio Tz sio ya kwanza kupigana na Rwanda.
 
Tuache blah blah tulipongeze jeshi la rwanda kwa kazi nzuri waliyoifanya hongera sana even UN can rent special forces from rwanda for now good works god bless them pia usalama wetu kusini utaimarika,inanistaajabisha sana jinsi jamaa walivyokuwa wanawahenyesha askari wa msumbiji.

Nashangaa wamewssumbua kwa miaka 4 lkn wameondolewa ndani ya mwezi 1.Watakua na jeshi dhaifu sana.
 
I'm telling! Kwa Sasa Rwanda military capability yake anaijua Congo anavyochakazwaga kule Goma na kuibiwa madini akiwa kasimama mchana kweupe na hakuna kitu atafanya.
Rwanda hii hii ambayo Kikwete aliwavuruga wiki 2 tu mpaka Kagame na M23 yake wakaanza kulia ndo ya kuipiga Tanzania? Rwanda hii ambayo wanajeshi wake wanakuja kufundishwa hapa Monduli ndo waipige Tz? Utakuwa na matatizo wewe
 
Rwanda Wanaweza wakaifanya nini Tz wkt hayo majeshi ya Rwanda hapo Msumbiji yalipo yamezungukwa na majeshi ya Sadc?Rwanda imeshapigana na Zimbabwe,Angola,Namibia huko Congo kwa hio Tz sio ya kwanza kupigana na Rwanda.
Mimi nauliza wale jamaa wakianza kuwatrain hao majambazi wa madevu kuja kufanya uhalifu tz haitaleta shida ?
 
Kuna watu wana akili fupi nyie.Kha! Yani wakijadili masuala ya vita wanayajadili kama mechi za Yanga na Simba. Ni wazi wana upeo mdogo sana wa ulimwengu na yaliyomo. Ukijadili vita kati ya nchi za Kiafrika, sahau suala la ujuzi. Eti Tz bora kuliko Kenya, au Kenya bora kuliko Uganda ama Uganda bora kuliko Malawi ama kinyume chake. Asilimia 9.99999ya nchi zetu hizi zinategemea misaada. Hata mkisema mnanunua sialaha kwa pesa zenu, utakachonunua Mtz ndicho atanunua Mganda. Ukimsikia mmoja wenu ana zana kali basi ujue Biden au mkubwa kawekeza hapo kwa maslahi yao. Kushinda vita dhidi ya nchi nyingine kutategemea kina Urusi, Marekani, China, Ufaransa n.k. wapo wapi. So, mnapofikia hatua hadi ya kutukanana eti nchi X ni kali kivita dhidi ya nchiY mnaonekana mapunguani. Watu hamtengenezi silaha zozote, labda risasi tu tena chini ya bajeti inayofadhiliwa na watemi. Wataalamu wenu wanasomeshwa na haohao. Hivi tunaongea ukute kuna wanajeshi wa Kenya, Uganda, Tz na Rwanda wapo wanakula kozi chuo kimoja pale Israel. Kesho utasikia wamarekani wana mazoezi ya pamoja na jeshi la Kenya, mwakani utasikia kitu kama hicho Rwanda n.k. Sasa huo ukali kijeshi mkazidiana mnautoa wapi?

Hoja yangu ni kuwa tunafananafanana tu. Hatuna lolote la maana. Vita zetu hutegemea sana kina Marekani. Mtashinda tu kama mmedhaminiwa na wakubwa zaidi.

Acheni uzushi, Afrika bado sana

Umeongea ukweli so long hauna tech yako na hautengenezi silaha zako mwenyewe then hakuna haja kabisa ya kuvimba maana silaha zozote zile ambazo nchi 1 inayo nchi nyingine yoyote ile inaweza ikazipata cha msingi uwe na pesa,saa nyingine ndio maana maana hata Iran hua ana kiburi kiaina maana anajitengenezea silaha zake mwenyewe.

Nilikuja kujua kua na silaha za kisasa ni utopolo ni ile kipindi cha Ghadafi anang’olewa,jamaa alikua na state of arts weapons lkn alitandikwa kama mtoto sababu mojawapo ni kwamba huwezi kupigana na aliyekuuzia silaha,atakachokuuzia jua yeye anacho zaidi ya hicho.Utapigwa tu,Israel hua ananunua silaha kibao US halafu anazifanyia modifications anavyotaka yeye.

Education is the most powerful weapon.
 
Back
Top Bottom