jambo Tanzania
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 377
- 281
Nimefuatilia washindi karibu wote ni kampuni ya tigo tu.je kwanini voda na makampuni wengine hawashindi?
===================================================
Kinachonishangaza kwenye BIKO ni hivi vifuatavyo
Kwanza Washindi walio wengi wanatokea Dar haswa Mbagala na Tabata.
Pili Namba zinatembea mda mchache sana. Katika kuchezesha.
Tatu Kila namba inayoshinda ikipigwa simu inapatikana muda huo huo hakuna cha network kusumbua wala nini. Haijawahi kukosekana hewani hata siku moja. Wahusika huwa hawakai mbali na simu
Nne Nakumbuka Vodacom walikuwa wanafanyaga zao kipindi cha nyuma wakipiga haipatikani inatafutwa ya pili hadi ya tatu mbona hawa hakunaga hivyo? Au hii ni bahati nasibu ya vipi?
Ps. Kuna mchezo mchafu unachezwa nyuma ya pazia kama Tatu Mzuka tu mana hawa nao ukiweka namba kubwa wanakwambia iliyoshinda ni ndogo ukiweka ndogo wanakwambia iliyoshinda ni kubwa huu nautafsiri kama ni uhuni huu.
===================================================
Kinachonishangaza kwenye BIKO ni hivi vifuatavyo
Kwanza Washindi walio wengi wanatokea Dar haswa Mbagala na Tabata.
Pili Namba zinatembea mda mchache sana. Katika kuchezesha.
Tatu Kila namba inayoshinda ikipigwa simu inapatikana muda huo huo hakuna cha network kusumbua wala nini. Haijawahi kukosekana hewani hata siku moja. Wahusika huwa hawakai mbali na simu
Nne Nakumbuka Vodacom walikuwa wanafanyaga zao kipindi cha nyuma wakipiga haipatikani inatafutwa ya pili hadi ya tatu mbona hawa hakunaga hivyo? Au hii ni bahati nasibu ya vipi?
Ps. Kuna mchezo mchafu unachezwa nyuma ya pazia kama Tatu Mzuka tu mana hawa nao ukiweka namba kubwa wanakwambia iliyoshinda ni ndogo ukiweka ndogo wanakwambia iliyoshinda ni kubwa huu nautafsiri kama ni uhuni huu.