Aseee natamani nikutane nayo nione inakuajebasi hujawah cheza kwe kiwango cha juu brother,wanaopiga mbao kisawasawa kwa miaka yote lazima ukutane na hio situation ingawa ni maea chache sana mi nmeanza kucheza 2004 lkn nmekutana nayo mara mbili tu,ya kwanza nlifungwa ya pili na mm nkamfunga jamaa nlimkomalia avalishe kingi yangu akabaki katoa macho tu
uliza tu mcheza kamari za draft atakupangia huo mchezo,hao wanajua copy nyingiAseee natamani nikutane nayo nione inakuaje
Kuna scenario zikitokea draft linakuw limeisha hapo hapoUnajua draft inaishaje kweli mkuu au hulijui???? Draft haliishi kwa wewe kushindwa kumvalisha King mpinzani wako bali mpaka pale amabapo either kete zako zote zimeliwa au zipo sehemu ambayo haziwezi kucheza la sivyo ukicheza tu zinaliwa
kuna siku utakutana nayo hiyo scenario inatokea kwa kupigwa force.nna miaka zaidi ya 20 nacheza huu mchezo na sijawai kukutana na scenario ya hivyo asee
ngoja tuonekuna siku utakutana nayo hiyo scenario inatokea kwa kupigwa force.
safi sana hata mimi nawapi nayo sana ambao hawajui ukimwambia valisha kwanza panachimbika na hiyo inatokana na kutokujua lakini baadae ukimwelewesha anakuelewa ndio maana uzi huu upo hapa kwa ajili ya kueleweshana.basi hujawah cheza kwe kiwango cha juu brother,wanaopiga mbao kisawasawa kwa miaka yote lazima ukutane na hio situation ingawa ni maea chache sana mi nmeanza kucheza 2004 lkn nmekutana nayo mara mbili tu,ya kwanza nlifungwa ya pili na mm nkamfunga jamaa nlimkomalia avalishe kingi yangu akabaki katoa macho tu
utakutana nayo tu kama unatembelea vijiwe vya mafundi ila vijiwe vya wasiojua hawavalishi wanageuza visodaAseee natamani nikutane nayo nione inakuaje
pamoja broKuna scenario zikitokea draft linakuw limeisha hapo hapo
Mfano mpinzani wako akibwaga kete pasipo maelewano yoyote lets say draft linaelekea sare lazima mpinzani wako mkubaliane ikiwa atabwaga kete bila ya makubaliano hapo amefungwa
Nyengine ni hii aliyoleta muanzisha thread,ukimpiga mpinzani wako force king then huna ya kumvalisha apo umefungwa
uwe na uwezo mkubwa wa kufikiria pasi na hivyo utapigwa game zoteWakiboya sana huo game inaisha mapema sana
Utapita wapi ili uingie hiyo kingDuu nimekaa Na draft hapa nimeangalia sana lkn haiwezekan mpinzani asile hata 1 kabla ya we kufika kingi maana hutapata njia
Utapita wapi ili uingie hiyo king
Hii nayo ni mpya yaan uweke kingi tuseme tano bado hujamaliza game...utakuwa mbovu Wa kwanza kupatikana.Ukiwa ni mchezaziji wa mara kwa mara wa hili game lazima utakutana hizo incidents hasa kwa wale wanajifunza, ila sometimes inatokea mmoja wapo kete zake za kuvisha zimeisha , ni kweli kete mmekula lakini tayari mmevishana na zimeisha.
hautakiwi kugeuza unatakiwa kuvalisha sio kote wanatumia hivyo visoda vya kitotoUna geuza ile kete yako ilyo ingia king ina kua chini juu, juu chini lakin hata hivyo hauwez ingia king bila ya kuwa mme kulana walau hata kete mojamoja
Inawezekana sana kama mnacheza mchezo wa kubanana itafika mahala utaishiwa ya kucheza na kuanza kugawa kete mpaka mtu anafika king bila wew kula kete yeyote na hii inatokea kama mafundi wawili wanacheza au hutokea mmoja ni fundi mwingine kilaza zaidi hajui vizuri ila ni rahisi zaidi kwa mafundi wawili wote wanaojuaDuu nimekaa Na draft hapa nimeangalia sana lkn haiwezekan mpinzani asile hata 1 kabla ya we kufika kingi maana hutapata njia
Haupo mkuuuwezekano upo mzee na huku hatutumii visoda
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji125]Napenda kufika king unakula mbele na nyuma
Hujui draft na hiyo copy inaitwa C double DHaupo mkuu