Mchezo wa draft na sheria zake

Mchezo wa draft na sheria zake

M4TYDACLEVER

Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
86
Reaction score
44
ndugu zangu wapenda mchezo wa draft kuna sheria inachanganya watu wengi sana katika mchezo huu. swali liko hivi.

je itakuaje endapo utafika king halafu mpinzani wako hana/hajala kete hata moja ya kukuvalisha hiyo king nawakati huo unataka kuitumia hiyo king?

Hii ni kwa wale waliobobea katika mchezo huu wa draft na hata kama sis mchezaji lakini sheria waweza kuzijua toad mchango wako, lengo nikueleweshana watu wazijue sheria ili kuondoa mabishano na mikanganyiko katika mchezo huu pendwa.
Pia waweza changia kwa kudondosha sheria zingine kwa lengo la kuelimishana zaidi.
 
Ukiskia mchezo amabao umenishinda
N huu wa draft hua c uelewi
kabsa nmejitahid kujifunza nielewe
Lkn wap

Cjui hata unaazia wap na kuishia
Wap
usikate tamaa cheza mara kwa mara hasa baada ya shuguli zako hasa cheza na wale wanao jifunza kama wewe usicheze na mafundi watakuvunja moyo pia penda kutazama wanavyocheza nissan rahis tu.
 
ndugu zangu wapenda mchezo wa draft kuna sheria inachanganya watu wengi sana katika mchezo huu. swali liko hivi.

je itakuaje endapo utafika king halafu mpinzani wako hana/hajala kete hata moja ya kukuvalisha hiyo king nawakati huo unataka kuitumia hiyo king?

Hii ni kwa wale waliobobea katika mchezo huu wa draft na hata kama sis mchezaji lakini sheria waweza kuzijua toad mchango wako, lengo nikueleweshana watu wazijue sheria ili kuondoa mabishano na mikanganyiko katika mchezo huu pendwa.
Pia waweza changia kwa kudondosha sheria zingine kwa lengo la kuelimishana zaidi.
Uwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.

Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia visoda itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
 
hapo jibu ni moja ikitokea umeingia king na mpinzan wako hana kete ya kukuvisha basi utakua umeshnda game, kwa wale wazoefu watakua wanajua kuna force king watu huwa wanaipiga mwanzo mwanzo wa game mkicheza zile game za kubanana hamjalana kete hata moja basi unamwachia ile force mtu asiejua apige akipiga tu basi akikwambia kula huku unamwambia nivishe kingi kwanza basi anabaki anashangaa tu....so mkuu kama huna kete ya kuvisha king wa mwenzio umefungwa
 
hapo jibu ni moja ikitokea umeingia king na mpinzan wako hana kete ya kukuvisha basi utakua umeshnda game, kwa wale wazoefu watakua wanajua kuna force king watu huwa wanaipiga mwanzo mwanzo wa game mkicheza zile game za kubanana hamjalana kete hata moja basi unamwachia ile force mtu asiejua apige akipiga tu basi akikwambia kula huku unamwambia nivishe kingi kwanza basi anabaki anashangaa tu....so mkuu kama huna kete ya kuvisha king wa mwenzio umefungwa
umesomeka mzee
 
Uwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.

Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia vidosa itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
uwezekano upo mzee na huku hatutumii visoda
 
ndugu zangu wapenda mchezo wa draft kuna sheria inachanganya watu wengi sana katika mchezo huu. swali liko hivi.

je itakuaje endapo utafika king halafu mpinzani wako hana/hajala kete hata moja ya kukuvalisha hiyo king nawakati huo unataka kuitumia hiyo king?

Hii ni kwa wale waliobobea katika mchezo huu wa draft na hata kama sis mchezaji lakini sheria waweza kuzijua toad mchango wako, lengo nikueleweshana watu wazijue sheria ili kuondoa mabishano na mikanganyiko katika mchezo huu pendwa.
Pia waweza changia kwa kudondosha sheria zingine kwa lengo la kuelimishana zaidi.
Duu nimekaa Na draft hapa nimeangalia sana lkn haiwezekan mpinzani asile hata 1 kabla ya we kufika kingi maana hutapata njia
 
Duu nimekaa Na draft hapa nimeangalia sana lkn haiwezekan mpinzani asile hata 1 kabla ya we kufika kingi maana hutapata njia
muulize nguli yeyote wa huo mchezo atakwambia hio situation ipo....mtu yeyote Anayejua draft lazima atakua amekutana na hio kitu au ameona au ameshasikia kuhusu hilo mkuu
 
Awali nilkuwaga sijui kuhusu hiyo sheria, nilmpiga mpinzani wangu fosi kingi ya maana wakati sote tukiwa na kete zote kumi na mbili kwa sababu sikuwa nimekula kete yake hata moja nikakosa ya kumvalisha kingi yake mpinzani akagoma kuendelea na mchezo akidai king yake itambuliwe na mchezo ukaishia apo! Kwa maana hiyo mpinzani wako akifika king ba we hujala kete yake hata moja anakuwa ameshinda kwa sheria za mchezo wa draft
 
uhalisia wa aje unautaka mcheza draft mahiri pia mimi mwenyewe shakutana nayo hipo inatokea zaid kwa kupitia force king
Tena Force King ndio haiwezekani,
Maana lazima umpe yeye ale kete yako ili umvute kwenye 18 zako ndio umkule mpaka King.

Hivi ki ualisia tu kila mtu ana kete zake 12 zilizokaa upande wake, mtapishana pishana vipi mpaka ufike King bila kulana aisee? Labda nikuulize swali, unasema inawezekana wewe kutoliwa mpaka ukafika king, je na yeye atakua pia hajaliwa?
 
Tena Force King ndio haiwezekani,
Maana lazima umpe yeye ale kete yako ili umvute kwenye 18 zako ndio umkule mpaka King.

Hivi ki ualisia tu kila mtu ana kete zake 12 zilizokaa upande wake, mtapishana pishana vipi mpaka ufike King bila kulana aisee? Labda nikuulize swali, unasema inawezekana wewe kutoliwa mpaka ukafika king, je na yeye atakua pia hajaliwa?
Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
 
Back
Top Bottom