Mchezo wa draft na sheria zake

Mchezo wa draft na sheria zake

Tena Force King ndio haiwezekani,
Maana lazima umpe yeye ale kete yako ili umvute kwenye 18 zako ndio umkule mpaka King.

Hivi ki ualisia tu kila mtu ana kete zake 12 zilizokaa upande wake, mtapishana pishana vipi mpaka ufike King bila kulana aisee? Labda nikuulize swali, unasema inawezekana wewe kutoliwa mpaka ukafika king, je na yeye atakua pia hajaliwa?
ndio inawezekana kufika king bila kuliwa kete hiyo inatokea kwa kupigwa force lakini wewe unaefika king unakua umekula ila mpinzani wako anakua hajala.
 
Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
Anhaa,
Sasa nakuelewa.
Maana scenario aliyokua akiizungumzia mleta mada ni kama vile mimi/yeye/wewe ndio umeingia King then mpinzani wako hana ya kukuvisha.

Kumbe hapa tunazungumzia scenario tofauti kua Mpinzani wako ndie ameingia king ambayo umemuingiza wewe mwenyewe kisha wewe ndio huna kete ya kumvisha. Kama unajua kabisa itakua game Over basi hii technique usiitumie mwanzoni.

Otherwise kimtaani naonaga tu kama wanatumia visoda basi wanavigeuza juu chini.
 
Awali nilkuwaga sijui kuhusu hiyo sheria, nilmpiga mpinzani wangu fosi kingi ya maana wakati sote tukiwa na kete zote kumi na mbili kwa sababu sikuwa nimekula kete yake hata moja nikakosa ya kumvalisha kingi yake mpinzani akagoma kuendelea na mchezo akidai king yake itambuliwe na mchezo ukaishia apo! Kwa maana hiyo mpinzani wako akifika king ba we hujala kete yake hata moja anakuwa ameshinda kwa sheria za mchezo wa draft
we ni muongo kwnz inaonekana hujui hata maana ya foce king!!umekariri tu force king
 
Uwezekano wa wewe kufika King huku ukiwa na kete zako zote 12 full ni mdogo mno, labda uwe unacheza na mbumbumbu,
Kuna sehemu lazima umpe ale (umtege) ili akijaa mbele yako ndio uingie King.

Lakini kama theory tu na sio uhalisia basi kama mnatumia visoda itabidi tu ugeuze kisoda chako kilichoingia King ili kitofautiane na kingine
umemaliza huwezi kufika kingi bila mtu kula kete labda kete zako ziwe na mabawa
 
Its almost impossible,kwa wachezaji mahiri hasa kwenye French game, wanapenda kuzipunguza kete kwa kulana ili kuwahiana steps....au aweze kukupunja kwahiyo kwa namna yoyote lazima agawe kete...

Nisawa sawa na kusema unaweza kuuza bila kutumia cost yoyote nadhani ni lazima uwekeze kiasi Fulani kwanza
 
Unatumia kete za namna gan?, kinachotofautisha king na kete zngne ni kuipa utofauti iyo kete(king) sis tunatumia vzibo vya chupa so king tunaitambua kwa kuifunua kete
 
ndio mkuu force king maana yake ni kwamba ninakupa kete (1) unaingia king kisha naitega ile king ili nami (2) niingie king,sasa hapo kete ya kuvika nitaikosaje.
Nimekuja kumuelewa kua ukishampa kete ale aingie King (scenario #1) , wewe utakua huna ya kumvisha yeye,
Sio yeye akose kete ya kukuvisha wewe (Scenario #2)
 
Unatumia kete za namna gan?, kinachotofautisha king na kete zngne ni kuipa utofauti iyo kete(king) sis tunatumia vzibo vya chupa so king tunaitambua kwa kuifunua kete
za kuchanga kwa mbao au za plastik zilizotengenezwa kwa mashine
 
ndio mkuu force king maana yake ni kwamba ninakupa kete unaingia king kisha naitega ile king ili nami niingie king,sasa hapo kete ya kuvika nitaikosaje.
inatokea sometime unakua hujale kete hata moja
Its almost impossible,kwa wachezaji mahiri hasa kwenye French game, wanapenda kuzipunguza kete kwa kulana ili kuwahiana steps....au aweze kukupunja kwahiyo kwa namna yoyote lazima agawe kete...

Nisawa sawa na kusema unaweza kuuza bila kutumia cost yoyote nadhani ni lazima uwekeze kiasi Fulani kwanza
 
Mkuu inawezakana sana kwa maana wewe kama hujala kete yake ukimpiga force king ili uue king yake na hauna ya kumvalisha hapo mpinzani wako anakuwa kashinda kwa sheria kwa mchezo hauendelei mpaka umvalishie king yake
hapo sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom