mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Nyie mnao jiita wacheza draft ebu njooni hapa dodoma naeneo ya soko kuu majengo/chabela camp mkutane na wauaji. Hapa ukikutana na mtu kama kwata mwivi lwambano, nduli dulima, mnyama Ronardo, Hemed gaidi n.k, sare ndo ushindi wako.
Mbeya hakuna anayejua draftMbeya mkuu!
sio challenge ni kwamba utafungwaSawa! nashukuru angalau naweza nikapata challenge niliyo ikosa kwa muda mrefu!
hao ni hatar,dogo sicko vp,Simba wa Dodoma vp,wewe ndo fyatuka mahesabati auNyie mnao jiita wacheza draft ebu njooni hapa dodoma naeneo ya soko kuu majengo/chabela camp mkutane na wauaji. Hapa ukikutana na mtu kama kwata mwivi lwambano, nduli dulima, mnyama Ronardo, Hemed gaidi n.k, sare ndo ushindi wako.
Simba wa Dodoma yule ni jini, hafai hata kidogo😂😂hao ni hatar,dogo sicko vp,Simba wa Dodoma vp,wewe ndo fyatuka mahesabati au
Enzi zangu nakumbuka nilipewaga mlimbwende singida,nilikalisha vijiwe vyote vikubwa vya kahawa.Nimeanza kujifunza draft nikiwa nina miaka 12 tu!
Nilikuwa fundi rasmi katika umri mdogo sana kipindi nina miaka 15 nilishinda mashindano yote ya mtaani.!
Akili yangu kuchoka mpaka nicheze na wazee wanaojua angalau wa 5 hapo itachoka!
ilifika time nikawa maarufu mtaani kwaku wafunga ma master nikiwa chalii
Nakumbuka kuna mzee walimtoa mtaa mwengine kwani alikua fundi sana! ndani ya michezo minne nilimfunga supa 3 na sare moja! kisha nika mwambia hiyo sare ndio goli lako ghafla mzee alianza kulia hii ndio kumbukumbu yangu kubwa katika huu mchezo.
Alikalishwa uku Dsm kwenye shindano lilifanyika KITUNDA pale.Chali kabisa,kuna akina RONALDO NA ISSA MENO YA MAMBA NOMA MZEESimba wa Dodoma yule ni jini, hafai hata kidogo[emoji23][emoji23]
ndio mimi sasaMbeya hakuna anayejua draft