Mchezo wa draft ulimtoa machozi babu

Mchezo wa draft ulimtoa machozi babu

Mchezo wa kiume huo
Nyie mnao jiita wacheza draft ebu njooni hapa dodoma naeneo ya soko kuu majengo/chabela camp mkutane na wauaji. Hapa ukikutana na mtu kama kwata mwivi lwambano, nduli dulima, mnyama Ronardo, Hemed gaidi n.k, sare ndo ushindi wako.
 
Nyie mnao jiita wacheza draft ebu njooni hapa dodoma naeneo ya soko kuu majengo/chabela camp mkutane na wauaji. Hapa ukikutana na mtu kama kwata mwivi lwambano, nduli dulima, mnyama Ronardo, Hemed gaidi n.k, sare ndo ushindi wako.
hao ni hatar,dogo sicko vp,Simba wa Dodoma vp,wewe ndo fyatuka mahesabati au
 
Nimeanza kujifunza draft nikiwa nina miaka 12 tu!

Nilikuwa fundi rasmi katika umri mdogo sana kipindi nina miaka 15 nilishinda mashindano yote ya mtaani.!

Akili yangu kuchoka mpaka nicheze na wazee wanaojua angalau wa 5 hapo itachoka!

ilifika time nikawa maarufu mtaani kwaku wafunga ma master nikiwa chalii

Nakumbuka kuna mzee walimtoa mtaa mwengine kwani alikua fundi sana! ndani ya michezo minne nilimfunga supa 3 na sare moja! kisha nika mwambia hiyo sare ndio goli lako ghafla mzee alianza kulia hii ndio kumbukumbu yangu kubwa katika huu mchezo.
Enzi zangu nakumbuka nilipewaga mlimbwende singida,nilikalisha vijiwe vyote vikubwa vya kahawa.
 
Ukiona mtu anakuambia njoo tucheze hapa nikufunge supa huyo hajui darfti. Supa hua linajitokeza tu hakuna anayepanga kua sasa hivi nashinda supa.
 
Hata yanga ni mabingwa wa kihistoria lakin,ni kwa hapa tz
 
Back
Top Bottom