Mchezo wa draft

Mchezo wa draft

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo nilikuta wanacheza mm nikamuambia babu naomba kujaribu akaniambia mwl hii sio chaki hii
haaa...nikamvua msuli Mara mbili

set the date
Ila niwe mkweli huyo mzee atakua hajui kitu kabsaa.
Au alitaka na Genny ufurah kidogo
 
Unatakiwa kuwa na silaha zitakazomzidi mpinzani wako, kama utakua unatumia nyuklia unaweza kuteka mpaka kete za wacheza drafti wengine@
Mashikoro mageni gayo
 
Uwe na uwezo wa kuiteka akili ya mpinzani wako. uwe na uwezo wa kufikiria at least mpaka mchezo wa tatu mbele. Ukiwa na uwezo huo ninaweza kucheza na wewe lakini British. Added advantage uwe na maneno ya nyondo kufurahisha watazamaji na kumdhoofisha mpinzani wako mentally.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo nilikuta wanacheza mm nikamuambia babu naomba kujaribu akaniambia mwl hii sio chaki hii
haaa...nikamvua msuli Mara mbili

set the date
Na wew ukamjibu umeshobokea Zanz ulifikiri maziwa.

Ila usirudie tena teacher
 
[emoji3] [emoji3] alikua serious sema si unajua timing tu bao...

babu alifadhaika
Au ulimchanganya akiwa ana kuangalia anapoteza mahesabu. Utakuwa ulishinda by default ukamchanganya adui

Hilo tatizo lisije na mimi likanioata siku ya mech yetu asee.
 
Back
Top Bottom