Mchezo wa kirafiki: Simba 3 VS Kipanga 0

Mchezo wa kirafiki: Simba 3 VS Kipanga 0

Leo hii unaonesha kuikataa historia wakati moja ya Motto yenu ni "mabingwa wa kihistoria"

Ukikataa historia umekataa ubingwa wa miaka ya nyuma ambao mmekuwa mkitamba nao.
Tunajadiri current situation usijitowe akili, tano Yanga ilishaifunga Simba, hizo ni historia tunaangalia pira Brazil na pira Argentina nani kalamba dume?
 
Lini Yanga aliwahi kuifunga Simba goli 5?

Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0​


Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
 
Inawezekana basi hujui historia za Simba na Yanga, Simba ilishafungwa na Yanga 5 bila na Yanga ilishafungwa na Simba 6 bila.

Kama hujui historia hii kumbe tunakaushana mate bure tu hapa na Watoto wadogo.
Hizo goli 6 nazijua ila hakuna goli 5 ambazo Yanga amewahi kuifunga Simba

Ni rekodi za kupikwa na mashabiki wa Yanga tu
 

Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0​


Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Hii ni cooked data

Si umeitoa hapa sindio?
Screenshot_20230902-162212.png
 

Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0​


Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.

Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Umu kuna vijana hawajui chochote kuhusu historia ya vilabu wanavyo shabikia.
Yaani Simba kufungwa goli 5-0 na Yanga wanahisi ni stori ya kupikwa!!!
Tunasafari ndefu katika ushabiki wetu.
Mshauri uyo kijana aka muulize Baba yake[emoji3][emoji3]

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mechi ya Kirafiki

FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA
21’—[emoji460]️ Phiri
41’—[emoji460]️ Miquissone
70’—[emoji460]️ Kramo (freekick)

SIMBA kikosi X1:
Ally (Lakred), Kapombe (Duchu),
Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).


Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?
kramo kapona busha?
 
Inawezekana basi hujui historia za Simba na Yanga, Simba ilishafungwa na Yanga 5 bila na Yanga ilishafungwa na Simba 6 bila.

Kama hujui historia hii kumbe tunakaushana mate bure tu hapa na Watoto wadogo.
Mpuuze huyo mkuu,tuliwaambia kipindi kabla ligi haijaanza ikianza watakua wadogo na ndio ishaanza wasubirie kukonda
 
Wewe hata ukiambiwa Simba na Yanga ni timu moja huwezi kuamini kama unabishana na ukweli dhahiri.

Na utabisha hata takwimu za Simba kufunguwa Mara nyingi zaidi na Yanga.
Simba kufungwa mara nyingi sikatai

Ila mara nyingi kwa idadi ngapi ndio hoja

Tunafahamu nyie ni watu wa kutengeneza takwimu hewa
1693321896612.png
 
Mechi ya Kirafiki

FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA
21’—[emoji460]️ Phiri
41’—[emoji460]️ Miquissone
70’—[emoji460]️ Kramo (freekick)

SIMBA kikosi X1:
Ally (Lakred), Kapombe (Duchu),
Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).


Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?
GENTAMYCINE Alishaongelea hili.
 
Hizo goli 6 nazijua ila hakuna goli 5 ambazo Yanga amewahi kuifunga Simba

Ni rekodi za kupikwa na mashabiki wa Yanga tu

 
Back
Top Bottom