Leo hii unaonesha kuikataa historia wakati moja ya Motto yenu ni "mabingwa wa kihistoria"Unajificha kwenye historia, hapo Yanga hawakuwa na timu na kina Akilimali raha yao ilikuwa Yanga ifungwe.
Tunajadiri current situation usijitowe akili, tano Yanga ilishaifunga Simba, hizo ni historia tunaangalia pira Brazil na pira Argentina nani kalamba dume?Leo hii unaonesha kuikataa historia wakati moja ya Motto yenu ni "mabingwa wa kihistoria"
Ukikataa historia umekataa ubingwa wa miaka ya nyuma ambao mmekuwa mkitamba nao.
Lini Yanga aliwahi kuifunga Simba goli 5?Tunajadiri current situation usijitowe akili, tano Yanga ilishaifunga Simba, hizo ni historia tunaangalia pira Brazil na pira Argentina nani kalamba dume?
Inawezekana basi hujui historia za Simba na Yanga, Simba ilishafungwa na Yanga 5 bila na Yanga ilishafungwa na Simba 6 bila.Lini Yanga aliwahi kuifunga Simba goli 5?
Lini Yanga aliwahi kuifunga Simba goli 5?
Hizo goli 6 nazijua ila hakuna goli 5 ambazo Yanga amewahi kuifunga SimbaInawezekana basi hujui historia za Simba na Yanga, Simba ilishafungwa na Yanga 5 bila na Yanga ilishafungwa na Simba 6 bila.
Kama hujui historia hii kumbe tunakaushana mate bure tu hapa na Watoto wadogo.
Hii ni cooked dataJuni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Hahahahahaha,ujue walikua uwanja wa nyumbani ?Huwa mnaona kufunga goli 5 ni kazi rahisi, haya timu dhaifu hiyo mbona mmeshindwa kufunga goli 5?
Umu kuna vijana hawajui chochote kuhusu historia ya vilabu wanavyo shabikia.Juni 1,1968- Yanga 5 Simba 0
Yanga iliweka rekodi ya kuifunga magoli mengi Sunderland (Simba) Juni 1,1968 kwenye mchezo wa klabu bingwa ya nchi uliopigwa uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam.
Katika mchezo huo Simba ilifungwa 5-0, magoli ya Yanga yalifungwa na Maulidi Dilunga kwa njia ya penalti (dk 18,43), Salehe Zimbwe (dk 54,89),Kitwana Manara (dk 86).
Hawana sifa! Hiki kitimu lile popoma lisemaji la Simba ndiyo lilisema wanahitaji timu bora kuliko Yanga? Pambaff kabisa!Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?
kramo kapona busha?Mechi ya Kirafiki
FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA
21’—[emoji460]️ Phiri
41’—[emoji460]️ Miquissone
70’—[emoji460]️ Kramo (freekick)
SIMBA kikosi X1:
Ally (Lakred), Kapombe (Duchu),
Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).
Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?
Wewe hata ukiambiwa Simba na Yanga ni timu moja huwezi kuamini kama unabishana na ukweli dhahiri.
Mpuuze huyo mkuu,tuliwaambia kipindi kabla ligi haijaanza ikianza watakua wadogo na ndio ishaanza wasubirie kukondaInawezekana basi hujui historia za Simba na Yanga, Simba ilishafungwa na Yanga 5 bila na Yanga ilishafungwa na Simba 6 bila.
Kama hujui historia hii kumbe tunakaushana mate bure tu hapa na Watoto wadogo.
Simba kufungwa mara nyingi sikataiWewe hata ukiambiwa Simba na Yanga ni timu moja huwezi kuamini kama unabishana na ukweli dhahiri.
Na utabisha hata takwimu za Simba kufunguwa Mara nyingi zaidi na Yanga.
GENTAMYCINE Alishaongelea hili.Mechi ya Kirafiki
FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA
21’—[emoji460]️ Phiri
41’—[emoji460]️ Miquissone
70’—[emoji460]️ Kramo (freekick)
SIMBA kikosi X1:
Ally (Lakred), Kapombe (Duchu),
Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).
Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?
🚮🚮Simba kufungwa mara nyingi sikatai
Ila mara nyingi kwa idadi ngapi ndio hoja
Tunafahamu nyie ni watu wa kutengeneza takwimu hewa
View attachment 2736802
Hizo goli 6 nazijua ila hakuna goli 5 ambazo Yanga amewahi kuifunga Simba
Ni rekodi za kupikwa na mashabiki wa Yanga tu