Bado una amini hiyo source ni BBC kweli na sio manipulated?Tunakubaliana vipi ndugu ilihali hatukuwepo, historia yyte yenye vyanzo zaidi ya kimoja huenda ina kitu.
Labda BBC wana ushahidi either wa magazeti ya enzi hizo au nyaraka yyte.
Hata hivo mwaka 1938 sio mbali kivile maana wazee kama mzee mwinyi nadhani tayari alikua na akili timamu mwenye kukumbuka tukio kama hilo.
Of course inawezekana wahuni wameingia maabara wametengeneza ila pia inawezekana ni BBC. Let's search truth.Bado una amini hiyo source ni BBC kweli na sio manipulated?
Habari ya picha ni rahisi kuwa manipulated lakini sio videoOf course inawezekana wahuni wameingia maabara wametengeneza ila pia inawezekana ni BBC. Let's search truth.
Shida ya digital ni kwamba hata vizazi vijavyo watakuja kupinga historia ya leo wakidhani zimekua manipulated ukizingatia kua kipindi hicho watakua tayar na technology ya ku edit na kutengeneza video fake zenye mfanano na halisi.
Uko sahihi, kwa wakati huu video ni ngumu kutengeneza fake ila kama nilivyosema watakuja watu ambao watakua na technology wata challenge historia hii kwa kutengeneza fake na site videos kupotosha ukweli.Habari ya picha ni rahisi kuwa manipulated lakini sio video
Hakuna video ya mechi za miaka ya nyuma.
Lakini miaka hii zipo trusted site ambazo zinatunza rekodi. Hiyo ina maanisha kwamba hata picha itaamuliwa kuwa ni ya kweli au ya uongo kupitia source.
Lakini jambo lingine la ziada kama faida ni kuweza kutunza kumbukumbu kwa mfumo wa video.
Kutengeneza video ni ngumu kwasababu characters watakuwa ni robotic wasio realistic.Uko sahihi, kwa wakati huu video ni ngumu kutengeneza fake ila kama nilivyosema watakuja watu ambao watakua na technology wata challenge historia hii kwa kutengeneza fake na site videos kupotosha ukweli.
Na hata hizo sites ulizosema wahuni watazichallenge pia ikiwemo kuzihack na kufuta real videos. Yaan itakua vurugu mechi. Real vs fake, utaamua uamini zipi.
All in all matukio ya sasa yanapaswa yatunzwe kwa source mbalimbali ikiwemo magazeti ya sahivi, picha za hard copy, n.k ili kuepusha hizi sintofaham.
Simba nguvu moja. Hujui zaidi ya Kocha!Yaani hadi friend game mchezaji tegemeo anacheza dakik 90 vipi akiumia??
Uto na habari za Simba zinakuhusu?Mechi ya Kirafiki
FT: SIMBA SC 3-0 KIPANGA
21’—[emoji460]️ Phiri
41’—[emoji460]️ Miquissone
70’—[emoji460]️ Kramo (freekick)
SIMBA kikosi X1:
Ally (Lakred), Kapombe (Duchu),
Zimbwe Jr (Israel), Che Malone, Henock (Mwanuke), Ngoma, Chama (Abdallah), Kanoute (Kapama), Phiri (Baleke), Miquissone (Kramo), Onana (Kazi).
Ina maana wale MVP wetu hawajaitwa timu zao za taifa?