Mchezo wa mieleka Una ukweli wowote?

Mieleka ni ya kweli na inachezwa chini ya sheria zake km ilivyo ndondi, karate, nk, ila tofauti ni pale kuumizana kuvunjana inapokuwa ruksa. Wapo walioua ulingoni, mfano rey mysterio, Brock lesnar hawa waliua ulingoni. Wapo waliovunjwa shingo mfn Daniel brayan, edge ikabidi wastaafishwe mieleka ktk umri mdogo tu... Km mieleka ingekuwa igizo tu wasingeweza kuwatoza kiingilio cha $ 120+, na watu zaidi 65,000 hugarimika kuingia uwanjani. Bifu inapotokea kwa wanamieleka inakuwa mtaji tosha kwa kampuni na haifurahii wanamieleka wapendane....Hakuna mwanamieleka masikini 90% ni matajiri. Unapokuwa mbabe kwa wenzio kila mara ndivo na pato lako inavoongezeka na bonas juu ndio maana mara pengine hushambuliana kwenye korido, vyumbani au hata hospital, au ndani ya ambulance nk.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paragraph ya mwisho, umedanganya! Hakuna tamu kama papuchi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutozwa kiingilio hakimaanishi kinachofanyika pale ni real, mbona kwenye ma cinemax watu wanalipa kuangalia movies tu tena kwenye screen.
kinachafanyika pale kiko planned(scripted) hasa ku determine mshindi, wanapigana kiuhalisia but ukijua mwisho wa siku ninashinda ama anashinda.. it's called reality show.
kufa kwa baadhi ni ajali kama ilivyotokea kwa Paul Walker.
 
Mchezo wa mieleka Una ukweli wowote?
Wengine wanadai ni kweli Na wengine wakidai ni mchezo unaopangwa yaani wa kuigiza tu mbele ya hadhira!!

Wapi ni wapi[emoji21][emoji21][emoji21][emoji21][emoji21]!!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi hawawezi kuukubali ukweli kwa sababu ya mapenzi yao kwenye hii burudani(entertainment),cha kwanza lazima ujue hii ni burudani tu na so mchezo(sport).Kingine ambacho huwa hakiwekwi wazi kwa sababu za kibiashara ni kuwa huwa kuna rehearsals na ndio maana watu(mainly watoto) huonywa kujaribu kwakuwa wao huamini moja kwa moja wakidhani kuna uhalisia kama kwenye boxing.Kuna mambo mengi kwa mtu yoyote mwenye fikra lazima awastukie kuwa sanaa ndio inayoendelea na wala si mpambano halisi. Nakushauri tu hata kama unamapenzi kiasi gani na hiyo burudani,jaribu kutumia 'jicho' la tatu wakati unaangia wanavyofanya.Haitakuchukua hata dkk2 utaweza kutenganisha pumba na mchele.
 
MMA tu ndo halisi.wale jamaa wa WWE wanaitwa 'performers' so wanatufanyia maigizo tu pale.
Script na bifu zinatemgenezwa ili kuweka mvuto ila pale ukumbini baadhi ya mechi ni kweli, mfano money in the bank!
 
Na mimi anataka kufahamu kama ni kweli au wanaigiza.Japo nafahamu kuna waigizaji maalum wa porno
Kama vyombo vinaingiliana bado kuna maigizo tena?

Igizo ni ku'act' upresidaa kwenye movie wakati wewe ni mchimba chumvi wa Uvinza.

Kama sikosei Eminem aliwahi kutaka kuingia huko kwenye tasnia ya mieleka lakini daktari wake akamzuia kwamba kwa weight yake hawezi. Nadhani sehemu kubwa ni uhalisia isipokuwa kama ni kweli wanaandaa script na kuzifanyia mazoezi ni kwa lengo la kuleta mvuto wa pambano. Kumbuka bila hivyo ingekuwa kuna mapambano hayachukui hata dakika 3 hasira zingemaliza pambano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duu aisee kwahyo hata ile Table lader chair (TLC ) ni uongo

Da killer's
 

Ok kwahiyo inapangwa fulani ashinde? Maana mtu analegezwa kama mlenda halafu mwishoni anashinda yeye na vipi hairuhusiwi kuzuia ngumi? Maana unakuta mtu anapigwa za uso bila kuzuia
 
try it at home, halafu uje na feedback hapahpa
 
Hauna uhalisia hata kidogo maana wangekuwa wamekufa wengi sana, hata bifu zao huwa ni feki

Small minded people won't understand
Wanapigana kwa kupokezana! Jamaa kaishiwa nguvu, ghafla anaibuka kuwa mshindi!
 
pornography sio maigizo ukiona kaingiziwa ujue kweli kuna mtu analiwa
Zipo porn za uongo pia, ushawahi kusikia body dubbing? Anafanya mwengine ila kwenye video unamuona mwengine? Ma actress wengi wanafanya hivyo.
 
Umemsahau Power Mangwana mkuu!

sent from Sanduku la Posta using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…