Mieleka ni ya kweli na inachezwa chini ya sheria zake km ilivyo ndondi, karate, nk, ila tofauti ni pale kuumizana kuvunjana inapokuwa ruksa. Wapo walioua ulingoni, mfano rey mysterio, Brock lesnar hawa waliua ulingoni. Wapo waliovunjwa shingo mfn Daniel brayan, edge ikabidi wastaafishwe mieleka ktk umri mdogo tu... Km mieleka ingekuwa igizo tu wasingeweza kuwatoza kiingilio cha $ 120+, na watu zaidi 65,000 hugarimika kuingia uwanjani. Bifu inapotokea kwa wanamieleka inakuwa mtaji tosha kwa kampuni na haifurahii wanamieleka wapendane....Hakuna mwanamieleka masikini 90% ni matajiri. Unapokuwa mbabe kwa wenzio kila mara ndivo na pato lako inavoongezeka na bonas juu ndio maana mara pengine hushambuliana kwenye korido, vyumbani au hata hospital, au ndani ya ambulance nk.
Sent using
Jamii Forums mobile app