Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

Na geto nalala peke yangu.je,ntawezaje kuiacha?tuko wengi wapiga punyeto
 
Nunua Sabuni Hizi:-
Mshindi
Komoa
Mbuni
Revola
Eva
 
Unatakiwa uachane kabsa na masuala ya kuangalia porn hubs alaf tafuta mchumba utakaye kuwa unapend Nae lots of time,,ila siku piga nyeto alaf ufumaniwe huwez kuendelea tena maisha yako yote ndy namna mm niliacha ad sahiv😪
 
Siku ukija kufumaniwa unafanya hivo hautataman tena kufanya ila Kula vizuri fanya mazoezi kunywa maji mengi alaf ACHA PORNOGRAGHY HILI NDY LA MSINGI alaf tafuta shughuli ya kukuweka busy sanaaaa.
 
Ili uweze Kuacha Lazima uamue Kutoka Moyoni Kwako Kwamba Sasa Nataka Kuwa Mtu Fulani lakini Kama Huwezi Kuacha basi Tumia muda Mwingi Kuwa na marafiki usikae peke Yako itakupunguza uraibu wa Kufanya hivyo.
 
ENDELEA KUFANYA HADI KIFO
 
unatangazwa huko Facebook
 
ili uweze kuacha punyeto kwanza ni lazima uityuni akili yako kwamba punyote ina madhara kisayansi na ni dhambi kiroho arafu amua kuacha kabisa na hepuka kukaa peke yako sehemu fichu kwa muda mrefu na kama utajikuta peke yako basi usikae bila cja kufanya yani jikeep busy na vitu vya maana sio punyote
 

Attachments

Hii ni kujiendekeza Sasa.

Mkeo yupo, unapewa pigo za mbele, unakojoa mara Mbili/tatu hiyo nyeto utaifanya saa ngapi?.

Shida unaona afu mkeo anakaa mbali na wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…