Mchezo wa sabuni unanitafuna taratibu, naomba msaada niache

Pole sana jiweke bize katika kusoma vitabu na epuka kutazama picha za uchi pia jihusishe pamoja na watu wenye mitazamo chanya.
 
Brother 0763058704 chukua namba yangu.
kuna program maalum nitakupa ya kuacha nyeto na yapo inform of mazoez ambayo Yatalenga kukuza na kurefusha uume wako na kusuluhisha tatizo lako la nyeto
Kuna program maalum zilizo kaa inform of mazoez yenye lengo la kukuza,kurefusha,na kunenepesha uume wako na pia kuna suluhishoa tatizo sugu la nyeto kwa mawasiliano zaidi piga namba 0763058704
 
Dozi ya nini tena, nyie wafanyabiashara? Yeye anataka kuacha punyeto, wew unasema dozi?

Kwan hivyo virutubisho hawezi vipata kwenye chakula?
 
Endelea mkuu, tena ongeza bidii, humu kuna CEO wenu aitwa dronedrake
 
Binafsi nilikuw na tabia kama hiyo, nilisha jaribu sana kuacha ila wapi ila ilifikia cku moja 2 nimechoka toka ndani ya roho yangu na nafsi yangu. Mpaka leo sijawai kufanya tena na nina Muomba Mungu anilinde na hiyo tabia. Haijalishi jambo hilo lina faida ama halina, ukishaona roho yako inakuambia jambo hilo siozuri utaacha tu ila ukiweka bidii na kuomba Mungu akusaidie kutoka, utatoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…