Mchezo wa Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate tutegemee kuona makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa

Nyinyi mliohonga marefa mmeona Nini mmecheza dakika ya 96
Mimi nadhani Yanga itakuwa ilijiandaa kukutana na yeyote kati ya Simba au Singida. Sasa sijajua huu uoga wa kuikataa Simba unaanzia wapi
 
Huo ni woga tayari umewajaa . Nahisi pale mlipo tayari vinyesi vimejaa kwenye nguo zenu za ndani.
 
Dah, ndivyo ilivyotokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…