Mchezo wa Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate tutegemee kuona makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa

Mchezo wa Simba SC dhidi ya Singida Fountain Gate tutegemee kuona makosa ya kibinadamu kutoka kwa marefa

Forward za yanga zingekua na ukatili basi azam alikua anakufa goal 5 jana
 
Kutokana na kutumika nguvu kubwa na Figisu ili mradi tu lastborn wa TFF achukue kombe/au kuanza vizuri msimu ili arudishe unafuu na Imani kwa mashabiki zake.

Muundo wa timu nne na kuichezesha Yanga na Azam huku kukiwa na imani kubwa kuwa Yanga atapigwa lakini imekuwa ndivyo sivyo, kipigo kitakatifu kimemkuta Azam Fc.

Limeibuka kundi la wahuni/mashabiki wa Simba sc wanaanza kuilaumu Azam na kuikejeli huku wakisahau kuwa Azam Fc kakutana na bingwa aliyecheza fainali ya shirikikisho, hapo hapo wakasahu kuwa Yanga sc ndiyo bingwa mtetezi wa ngao ya jamii, kombe la Nbcpl na FA.

Kiufupi Azam Fc asilaumiwe kwa kuwa kakutana na Bingwa Hilo halina ubishi na anastahili sifa kwa uwezo aliounesha wa kupunguza magoli.

Achana na Goli la Aziz key, Wala usiulize kuhusu Clement mzize mtoto aliyepata baraka pale ikulu kutoka kwa Mh Raisi Samia suluhu kwa kutambulishwa.

Mchezo wa Singida fountain Gate na Simba leo wachezaji wa Singida watapewa kadi za njano nyingi mpaka kupelekea kadi nyekundu ili mradi tu Simba sc afike fainali.

Nawasilisha hoja.
Malalamiko fc...unaacha kutoa tathmini ya mechi ya timu yako ambayo imecheza unakimbilia kwa Simba ambayo haijacheza.
 
Kutokana na kutumika nguvu kubwa na Figisu ili mradi tu lastborn wa TFF achukue kombe/au kuanza vizuri msimu ili arudishe unafuu na Imani kwa mashabiki zake.

Muundo wa timu nne na kuichezesha Yanga na Azam huku kukiwa na imani kubwa kuwa Yanga atapigwa lakini imekuwa ndivyo sivyo, kipigo kitakatifu kimemkuta Azam Fc.

Limeibuka kundi la wahuni/mashabiki wa Simba sc wanaanza kuilaumu Azam na kuikejeli huku wakisahau kuwa Azam Fc kakutana na bingwa aliyecheza fainali ya shirikikisho, hapo hapo wakasahu kuwa Yanga sc ndiyo bingwa mtetezi wa ngao ya jamii, kombe la Nbcpl na FA.

Kiufupi Azam Fc asilaumiwe kwa kuwa kakutana na Bingwa Hilo halina ubishi na anastahili sifa kwa uwezo aliounesha wa kupunguza magoli.

Achana na Goli la Aziz key, Wala usiulize kuhusu Clement mzize mtoto aliyepata baraka pale ikulu kutoka kwa Mh Raisi Samia suluhu kwa kutambulishwa.

Mchezo wa Singida fountain Gate na Simba leo wachezaji wa Singida watapewa kadi za njano nyingi mpaka kupelekea kadi nyekundu ili mradi tu Simba sc afike fainali.

Nawasilisha hoja.
Kwani wewe mnyama hakukukanda 2 Kwa Yai??? Ety huyu nae yupo jamii forum duuuh zamani huu mtandao ulikuwa wa maana ila siku hizi hakuna mvuto kabisa??? Kwa sababu ya watu Kama hawa

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Bongo raha sana
Simba wakishinda watakuwa wamebebwa
Wakishindwa ni Simba mbovu

Alieanzisha Simba na yanga Ana akili sana

Zilianza tu zenyewe naturally, ilikua kati ya waswahili masikini (Young Africans) na wageni matajiri (wahindi na waarabu wa Kariakoo).

Ndio maana kuna uhusiano kati ya rangi za kijani na njano...

Ila sasa zote ni za matajiri... japo wazee wengi wamebaki Yanga.

Wanasiasa wanafaidika sana kuwapumbaza watu na hizi timu, na wananchi tunafaidika kupunguza ukali wa stress za maisha kwa kuzipa akili kitu mbadala cha kufikiria baada ya kupigika kutwa nzima.
 
Pia marefa wa kike na refa aliyechezesha juzi Simba na power dynamo sio wa kuchezesha mechi zinazohusisha Simba Au yanga.
 
Back
Top Bottom