Mchimbaji mdogo Laizer akabidhi jiwe lingine la Tanzanite lenye uzito wa kilo 6.33 Serikalini

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tukio hili liko mubashara Clouds tv na Channel ten.

Viongozi wengi wamehudhuria wakiongozwa na Dotto Biteko waziri wa madini.
Wengine ni Dr Mpango waziri wa fedha, CDF General Mabeyo, IGP Sirro na wengine wengi.

Mwenye mzigo si mwingine ni yule yule mchimbaji mdogo Laizer na uzito wa hii Tanzanite ni kilo 6.33

Maendeleo hayana vyama
 

Sipingani na Laizer ' Kuyaibua ' hivi haya Mawe ya Thamani, ila kwa Sisi ' Critical Thinkers ' tayari tumeshaanza kupatwa na Hofu juu ya Kitu fulani.
 
johnthebaptist hivi kweli mtu anayemiliki mpaka"Mall" eneo sakina "Opposite" Seven Up bado ni mchimbaji mdogo?
 
Hilo alipata pamoja na yale mengine. Sema hili walificha naona walitaka kulitorosha sema serikali ina masikio marefu.
Uyu jamaa sio mchimbaji mdogo ana watalaam kutoka china ana fanya nao kazi mda Sana haya mawe washauza Sana apo kwa jirani sema kwa sasa mambo yamekuwa tyt!
Mambo ya uhujum uchumi yame watisha!
Kumuita mchimbaji mdogo ni siasa tu!
 
Sipingani na Laizer ' Kuyaibua ' hivi haya Mawe ya Thamani, ila kwa Sisi ' Critical Thinkers ' tayari tumeshaanza kupatwa na Hofu juu ya Kitu fulani.
Wala usipatwe na hofu hakuna figisu zozote hapo,uzuri wa tanzanite ukidumbukia kwenye mtaro basi ni ya kuchota tuu,kampuni ya tanzanite one ilikuwa inatoa madini zaidi ya hayo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…