paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,503
- 3,499
Huyu Leiza, wampe mgodi wote tu, Kwanza hatoroshi madini,lkn pia hapendi kuwauzia wengine ispokuwa anaiuzia serikali pekee, Kwa nini asipiwe hiyo migodi akaiendesha yeye kama Mtanzania mzalendo?