sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Dubai ni mji wa kiv=biashara ambao watu kibao wanaenda kufata mizigo yao na kuiuza hapa bongo.
Naamini kuna wazoefu humu wengu wanaofata mizigo huko Dubenga, tunaombeni ushirikiano.
Binafsi nimecheki videos mitandaoni za wahindi wengi na wapakistani wakippategemea sana Dubai kwenye kujumua laptops na simu used ambazo ni bei rahisi sana na kwenda kuziuza kwa faida safi huko kwao.
Naamini kuna wazoefu humu wengu wanaofata mizigo huko Dubenga, tunaombeni ushirikiano.
Binafsi nimecheki videos mitandaoni za wahindi wengi na wapakistani wakippategemea sana Dubai kwenye kujumua laptops na simu used ambazo ni bei rahisi sana na kwenda kuziuza kwa faida safi huko kwao.