Mchina asema kinachoenezwa na Tanzania kuhusu bandari ya Bagamoyo ni uongo

Haki Tanzania is a country that sounds like a comic set in Utopia world.
 
Uliongea naye kwa lugha gani? juu your writing is betraying you.

Tihahahhaaaaa, Wakati mwingine uwahurumie hawa vinyangarika a Kidanganyika. Labda walitumia sign language e
 
Hahahaha wachina wamekubali kuchutama.
Wamekubali kiaina
However, in a document issued by CMHI on October 25, the company said it had not received the notice from Mr Kakoko and that the parties have already agreed in principal to the 33-year lease.


Japo kuwa mwwndishi ameiandika kichukichuki na mleta uzi kaja kwa mihemko. Ukisoma utaona wachina wamekubali mashart ya TZ kiaina.
 
Investing $10b for 33 years nikutupa, alafu serikali ya huo muda ikikataa kurenew???
 
Siku ukija dar lazima upotee dar ya 2016 siyo ya 2020
Hizi vitu ziko Mombasa na Kisumu na pia Nakuru lakini naona zimewaweka raha kwa kuwa Ni za Kwanza Tz... congrats LDC mko kwenye lait tlak
 
Hizi vitu ziko Mombasa na Kisumu na pia Nakuru lakini naona zimewaweka raha kwa kuwa Ni za Kwanza Tz... congrats LDC mko kwenye lait tlak
Wanadhani Kenya hakuna bararbara zinajengawa
 
Hizi vitu ziko Mombasa na Kisumu na pia Nakuru lakini naona zimewaweka raha kwa kuwa Ni za Kwanza Tz... congrats LDC mko kwenye lait tlak
Tz tunajenga miradi mingi sana Mara 20 ya miradi iliyopo Kenya wewe subiri mwakani utaona na kusikia kile dunia itakisema kuusu tz we never play
 
Hizi vitu ziko Mombasa na Kisumu na pia Nakuru lakini naona zimewaweka raha kwa kuwa Ni za Kwanza Tz... congrats LDC mko kwenye lait tlak

Mombasa kuna 8 Lanes? Going where to Ukunda ama that dirty place called chania cool?
 
Chania cool ni wapi hko[emoji1787][emoji1787]...
Wanaopanda hayo mabasi tunawajua, wengi wao ni watu wa kuzamia mijini kw sababu ya bei na yanabeba km matatu tu..

Mombasa kuna 8 Lanes? Going where to Ukunda ama that dirty place called chania cool?
 
Their own government was caught pants down lying. They claimed they had agreed that other ports could be built, china has disputed. These people from their president to the village woman, they are all compulsive liars.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…