Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja

Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,533
Screenshot_20240222-204936.jpg


Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu

Sasa katengeneza ni ni hapo
 
View attachment 2912633

Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu

Sasa katengeneza ni ni hapo
View attachment 2912633

Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu

Sasa katengeneza ni ni hapo
Ingekuwa rahisi hivyo basi kila nchi ingeweza kutengeneza ndege.
Kumbuka ukiachana na general motors engine kibao za ndege za boeng anaziunda mwingereza kampuni ya rolls royce.
Ukifuatilia zaidi utakuja kusema hata dell hatemgenezi computer maana processor ni intel, hdd segate au samsung, ram samsung, display, LG au samsung, component nyi gine from china sasa yeye anatengeneza nini?
Kwenye kuunda vitu watu kuna supply chain kubwa sana.
 
Pamoja na uadui wa miaka mingi usa vs Russia, USA ndege zake za kivita na space shuttle, engine huwa anaagiza urusi[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
wewe utakuwa ni kichaa kbs yan B2, B21, F22 RAPTOR, F35 NI MALI YA MRUSI HIVI UNA AKILI TIMAMU KWELI WW? uadui wa kivita na siraha uliopo kati ya west na urusi inawezekanaje mrusi akamtengenezea ndegu marekani au ulaya? hujui generations zote za ndege ambaye huwa anaanza kutoa n marekani ksha urusi anafata kwa kuangalia marekan kafanya nn kama hujui fatilia stealth tech ya ndege vita mpk leo mrusi anapambana kuwa na ndege vita stealth ambayo tech iyo ipo kwny bombers kama B2, B21 NA F22, F35.
 
Napenda mnavo jibu an mtu anaelewa taratibu...😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Mda mwingine atajifunza kuweka title vizuri au kuuliza kwanza
 
wewe utakuwa ni kichaa kbs yan B2, B21, F22 RAPTOR, F35 NI MALI YA MRUSI HIVI UNA AKILI TIMAMU KWELI WW? uadui wa kivita na siraha uliopo kati ya west na urusi inawezekanaje mrusi akamtengenezea ndegu marekani au ulaya? hujui generations zote za ndege ambaye huwa anaanza kutoa n marekani ksha urusi anafata kwa kuangalia marekan kafanya nn kama hujui fatilia stealth tech ya ndege vita mpk leo mrusi anapambana kuwa na ndege vita stealth ambayo tech iyo ipo kwny bombers kama B2, B21 NA F22, F35.
soma kuelewa usiwe mkurupukaji amesema engine sio ndege
 
soma kuelewa usiwe mkurupukaji amesema engine sio ndege
kumbe na wewe ni kichaa yan ndege vita za marekan zna injini za urusi? Ndege ipi hiyo ya kvita ya marekan yenye injini toka urusi yan BOMBERS B52, B1, B2, B21 na F16, F22, F35, F18 zna injini made in russia eeh huu ushabki maandaz huu unasababsha wote humu tuonekane hamnazo. marekan alikuwa anatumia rocket za urusi kwenda anga za mbali na alishaacha bt si mambo ya kwny ndege vita hlo halipo kwny tech ya ndege vita marekan yuko mbali sn kuliko urusi na mchina wake fatlieni mambo msome si kukurupuka tu.
 
Hata toyota haitengenezi tairi na radio zilizopo kwenye magari yake na vifaa vingine vingi! Huu ndio mfumo sahihi wa manufacturing kwenye soko la kimataifa! Scania haitengenzi body ya magari yake...
 
ILi kupunguza ghalama lazima ushirikiane na kampuni zengine sio hapa kwetu monopoly ni nyingi sana.kiwanda cha maji ya kunywa wewe,kisima wewe,chupa wewe,masoko wewe.siku chupa ukikosa uzalishi
Jifunze kuandika na kuzungumza kiswahili ewe nyang'au
 
Back
Top Bottom