Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna nchi ambayo inatengeneza parts zote yenyewe mkuu,hata US,so hakuna cha ajabu kwa China,ni kawada.View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
Kuna wachina wa Buguruni wakufurumisha hapa kuwa wewe ni wakala wa mabeberu.View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
Hio ndege Ina vipuri zaidi ya 2.5m na asilimia 90 ya hivyo vimetengenezwa china.View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
Ingekuwa rahisi hivyo basi kila nchi ingeweza kutengeneza ndege.View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
wewe utakuwa ni kichaa kbs yan B2, B21, F22 RAPTOR, F35 NI MALI YA MRUSI HIVI UNA AKILI TIMAMU KWELI WW? uadui wa kivita na siraha uliopo kati ya west na urusi inawezekanaje mrusi akamtengenezea ndegu marekani au ulaya? hujui generations zote za ndege ambaye huwa anaanza kutoa n marekani ksha urusi anafata kwa kuangalia marekan kafanya nn kama hujui fatilia stealth tech ya ndege vita mpk leo mrusi anapambana kuwa na ndege vita stealth ambayo tech iyo ipo kwny bombers kama B2, B21 NA F22, F35.Pamoja na uadui wa miaka mingi usa vs Russia, USA ndege zake za kivita na space shuttle, engine huwa anaagiza urusi[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kajaribu sio mbayaView attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
soma kuelewa usiwe mkurupukaji amesema engine sio ndegewewe utakuwa ni kichaa kbs yan B2, B21, F22 RAPTOR, F35 NI MALI YA MRUSI HIVI UNA AKILI TIMAMU KWELI WW? uadui wa kivita na siraha uliopo kati ya west na urusi inawezekanaje mrusi akamtengenezea ndegu marekani au ulaya? hujui generations zote za ndege ambaye huwa anaanza kutoa n marekani ksha urusi anafata kwa kuangalia marekan kafanya nn kama hujui fatilia stealth tech ya ndege vita mpk leo mrusi anapambana kuwa na ndege vita stealth ambayo tech iyo ipo kwny bombers kama B2, B21 NA F22, F35.
kumbe na wewe ni kichaa yan ndege vita za marekan zna injini za urusi? Ndege ipi hiyo ya kvita ya marekan yenye injini toka urusi yan BOMBERS B52, B1, B2, B21 na F16, F22, F35, F18 zna injini made in russia eeh huu ushabki maandaz huu unasababsha wote humu tuonekane hamnazo. marekan alikuwa anatumia rocket za urusi kwenda anga za mbali na alishaacha bt si mambo ya kwny ndege vita hlo halipo kwny tech ya ndege vita marekan yuko mbali sn kuliko urusi na mchina wake fatlieni mambo msome si kukurupuka tu.soma kuelewa usiwe mkurupukaji amesema engine sio ndege
We jamaa ukikurupuka unaandikaga makande sana aisee.View attachment 2912633
Mchina bado sana. Aache ujanjaujanja. Mbona kila kitu kimetoka kwa mabeberu
Sasa katengeneza ni ni hapo
Jifunze kuandika na kuzungumza kiswahili ewe nyang'auILi kupunguza ghalama lazima ushirikiane na kampuni zengine sio hapa kwetu monopoly ni nyingi sana.kiwanda cha maji ya kunywa wewe,kisima wewe,chupa wewe,masoko wewe.siku chupa ukikosa uzalishi