Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
Tanzania ukiiba kidogo (vibaka) utapigwa mawe ufe, na ukibahatika kwenda mahakamani utapewa mvua ya miaka.
Ukiiba mabilioni unatenga fungu la kuwalambisha unaachiwa huru!!!! Halafu eti tuna majaji na wanasheria wasomi!!!! Hawaoni hizi double standards?
Ukiiba mabilioni unatenga fungu la kuwalambisha unaachiwa huru!!!! Halafu eti tuna majaji na wanasheria wasomi!!!! Hawaoni hizi double standards?