Mchina yeyote asiyezungumza Kiswahili na Kingereza kufurushwa Kenya

hii inatia uchungu na aibu sana katika uendeshaji wa shughuli zinazofadhiliwa na hawa mabwana hukupa wataalamu wao wenye kujua lugha moja tu,inakuwa ngumu sana katika mawasiliano na usambazaji wa taaluma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…