Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Na hutaelewa kweliSasa hapa ndio umeandika nini, kuna wakati huwa siwaelewi Watanzania kabisa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hutaelewa kweliSasa hapa ndio umeandika nini, kuna wakati huwa siwaelewi Watanzania kabisa....
hii inatia uchungu na aibu sana katika uendeshaji wa shughuli zinazofadhiliwa na hawa mabwana hukupa wataalamu wao wenye kujua lugha moja tu,inakuwa ngumu sana katika mawasiliano na usambazaji wa taaluma.Mfumo wa SGR ni mpya kwetu, hivyo lazima wao wahusike pakubwa kwenye uendeshaji wake huku tukirithi kimikakati hatua kwa hatua.
Wao kulazimishwa kuongea lugha zetu ni mojawapo wa kuhakikisha tunarithi mfumo, maana leo analetwa muhandisi Mchina asiyejua Kiswahili wala Kingereza, wanaongea wao kwa wao, wewe unasubiri utafsiriwe alichokisema, lini utakuja kujifunza anachokifanya.
Kama umewahi kufanya kazi yoyote ya kitaalam kwenye nchi ya watu, huwa lazima uonyeshe mikakati ya kupokeza ujuzi wako kwa wazawa na itakuchukua muda gani.