Sonnet
Senior Member
- Oct 22, 2013
- 170
- 130
Ngwair kafunika. Ngwair alimuonesha mrembo dira, alimchora tattoo pajani, alimpa cheni na ana mimba yake anayohudumia. Mchizi mox kala left overs.daah,ngwair kawahi sana kisepa wallah,hii ngoma walijibizana kibabe,mm ukiniuliza nani alifunikwa kwny hii ngoma jibu sina,kweli mziki halisi wa bongo ulikuwa zamani
Ila mmh toka shule ya msingi sasa mbona wote wamedeal na under 18!!!