Mchokoze kidogo mpaka akasirike ili ujue hekima yake ikoje

Mchokoze kidogo mpaka akasirike ili ujue hekima yake ikoje

Mwanasayansi Kalivubha

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
344
Reaction score
926
MCHOKOZE KIDOGO MPAKA AKASIRIKE ILI UJUE HEKIMA YAKE IKOJE 😊

Moja ya mbinu nzuri ya ki intelejensia ya kuijua hekima ya mtu ni kumchokoza makusudi mpaka akasirike 😊 Usiogope maamuzi yake yatakuaje ila fanya hivyo ili kumjua yeye ni wa namna gani.

ILI KUTUMIA MBINU HII HAKIKISHA YAFUATAYO ILI USIKOSEE ZOEZI LAKO.

1.Asijue kama upo kwenye kipimo cha matazamio.

2.Isiwe mara kwa mara kumchokoza , mchokoze mara moja tu.

3.Mchokoze kidogo usitafute uchokozi unaokwaza kupitiliza.

4.Kwenye uchokozi huo usiombe msamaha haraka bali hakikisha mpaka unaona maamuzi yake na namna anavyokabiliana na hasira zake.

UKIONA HAYA JUA HEKIMA YAKE NI NDOGO SANA

1.Anaongea kwa kupayuka bila kujali mko wapi na nani anasikia.
2.Anaongea ambayo kikawaida asingeweza kufanya hivyo akiwa hana hasira.
3.Hana mbinu suluhishi zaidi ya kuchochea ugomvi.
4.Hawezi kujizuia mpaka kla mtu anajua kama umemksirisha.

5.Anafanya maamuzi ya kudumu kupitia hasira zake

6.Anatumia vitisho kama mbinu za kukufanya uogope

#Mwanasayansi Saul kalivubha
Fikia Ndoto Zako.
 
Then what? Inatakusaidia Nini mkuu?
Huoni kwamba wewe ndo unamoyo mbaya ambao unakusudi la kuwatoa watu kwenye mood.

Kuwa makini,utani unaua..kumbe ulikuwa unampima tu mwenzio kachukulia serious anapita na wewe.😖
 
Tatizo kuna watu wengine hekima yao ikikoma basi mbadala ni vitasa tu.

Sasa unajifanya kuchokoza mtu unaishia na manundu ya kichwa.

Swali la msingi, kwanini hasa upime hekima ya mtu kwa kumchokoza?
1729832412707.jpeg
 
MCHOKOZE KIDOGO MPAKA AKASIRIKE ILI UJUE HEKIMA YAKE IKOJE 😊

Moja ya mbinu nzuri ya ki intelejensia ya kuijua hekima ya mtu ni kumchokoza makusudi mpaka akasirike 😊 Usiogope maamuzi yake yatakuaje ila fanya hivyo ili kumjua yeye ni wa namna gani.

ILI KUTUMIA MBINU HII HAKIKISHA YAFUATAYO ILI USIKOSEE ZOEZI LAKO.

1.Asijue kama upo kwenye kipimo cha matazamio.

2.Isiwe mara kwa mara kumchokoza , mchokoze mara moja tu.

3.Mchokoze kidogo usitafute uchokozi unaokwaza kupitiliza.

4.Kwenye uchokozi huo usiombe msamaha haraka bali hakikisha mpaka unaona maamuzi yake na namna anavyokabiliana na hasira zake.

UKIONA HAYA JUA HEKIMA YAKE NI NDOGO SANA

1.Anaongea kwa kupayuka bila kujali mko wapi na nani anasikia.
2.Anaongea ambayo kikawaida asingeweza kufanya hivyo akiwa hana hasira.
3.Hana mbinu suluhishi zaidi ya kuchochea ugomvi.
4.Hawezi kujizuia mpaka kla mtu anajua kama umemksirisha.

5.Anafanya maamuzi ya kudumu kupitia hasira zake

6.Anatumia vitisho kama mbinu za kukufanya uogope

#Mwanasayansi Saul kalivubha
Fikia Ndoto Zako.
Kwanini upime wakati kuna siku lazima yataibuka magomvi na makwazo ya kukasirishana.
 
MCHOKOZE KIDOGO MPAKA AKASIRIKE ILI UJUE HEKIMA YAKE IKOJE 😊

Moja ya mbinu nzuri ya ki intelejensia ya kuijua hekima ya mtu ni kumchokoza makusudi mpaka akasirike 😊 Usiogope maamuzi yake yatakuaje ila fanya hivyo ili kumjua yeye ni wa namna gani.

ILI KUTUMIA MBINU HII HAKIKISHA YAFUATAYO ILI USIKOSEE ZOEZI LAKO.

1.Asijue kama upo kwenye kipimo cha matazamio.

2.Isiwe mara kwa mara kumchokoza , mchokoze mara moja tu.

3.Mchokoze kidogo usitafute uchokozi unaokwaza kupitiliza.

4.Kwenye uchokozi huo usiombe msamaha haraka bali hakikisha mpaka unaona maamuzi yake na namna anavyokabiliana na hasira zake.

UKIONA HAYA JUA HEKIMA YAKE NI NDOGO SANA

1.Anaongea kwa kupayuka bila kujali mko wapi na nani anasikia.
2.Anaongea ambayo kikawaida asingeweza kufanya hivyo akiwa hana hasira.
3.Hana mbinu suluhishi zaidi ya kuchochea ugomvi.
4.Hawezi kujizuia mpaka kla mtu anajua kama umemksirisha.

5.Anafanya maamuzi ya kudumu kupitia hasira zake

6.Anatumia vitisho kama mbinu za kukufanya uogope

#Mwanasayansi Saul kalivubha
Fikia Ndoto Zako.


Weak/Small minds discuss people
 
Ati umjue... atakusaidia kulipa bili zako?
 
Ni upumbavu wa hali ya juu. Kuna watu hawajaribiwi utakuja ujute siku, shauri zako.
 
Back
Top Bottom