RingaRinga
JF-Expert Member
- Jul 10, 2015
- 1,047
- 521
Ndugu habarini.
Nina kamgahawa kangu.
Nahitaji kijana wa kike au kiume kwa kazi ya mgahawa. Mwenye uwezo wa kuchoma chapati zilizochambuka (zisizo na mafuta mengi), mwaminifu, itapendeza zaidi kama anaweza pia kupika wali mzuri sufuria kubwa kuanzia kilo kumi na mapishi mengine.
Malipo kuanzia laki moja kwa mwezi, Makazi bora bure, Kula bure mgahawani.
Please nipatieni connection hiyo bandugu nimpate huyo mtu, tufaane ktk utafutaji.
Eneo ni Bwisya Ukerewe.
Mawasiliano 0787597951.
Nina kamgahawa kangu.
Nahitaji kijana wa kike au kiume kwa kazi ya mgahawa. Mwenye uwezo wa kuchoma chapati zilizochambuka (zisizo na mafuta mengi), mwaminifu, itapendeza zaidi kama anaweza pia kupika wali mzuri sufuria kubwa kuanzia kilo kumi na mapishi mengine.
Malipo kuanzia laki moja kwa mwezi, Makazi bora bure, Kula bure mgahawani.
Please nipatieni connection hiyo bandugu nimpate huyo mtu, tufaane ktk utafutaji.
Eneo ni Bwisya Ukerewe.
Mawasiliano 0787597951.