Mchome ahofia nia ovu Chadema

Mchome ahofia nia ovu Chadema

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Baada ya kugundua nia yenu ovu mliyokua mmeipanga nikifika makao makuu, sasa kuna jambo mnaniandalia ofisin makao makuu muda huu. Nipo tayari kupokea. Mimi ni kiongozi mwenye address na address yangu inafahamika
Ameandika ktk X yake
 
Ndio nan huyo? Tatizo nini? Aweke mambo hadharani ili na yeye aishi bila hofu
 
Aende chamani aache kuzungukazunguka
Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!
 
Ahahahahaha! Angelikuwa ni CCM anai query CCM mngemuita Mwamba na hana haja ya kwenda chamani. Ila kwakuwa ni Chadema Ngangari mnataka aende chamani! Ahahahahaha!!!
Si bora hata huyo kaitwa chamani, malisa yeye alisikia tu mitandaoni kwamba kashanyolewa.
 
Back
Top Bottom